Kwa hio body spray ndio unajipaka?Kwa hiyo unahisi sifahamu hiyo ni body spray?wale machinga wote nje kariakoo wanaziuza hizo kimbilio la mabeki tatu.....
umeamua kuwaingiza mabeki tatu kwenye ugomvi eti?
hivi unawachukuliaje hao wanawake wenzio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hio body spray ndio unajipaka?Kwa hiyo unahisi sifahamu hiyo ni body spray?wale machinga wote nje kariakoo wanaziuza hizo kimbilio la mabeki tatu.....
Kwa hiyo bodypray inamezwa?Kwa hio body spray ndio unajipaka?
umeamua kuwaingiza mabeki tatu kwenye ugomvi eti?
hivi unawachukuliaje hao wanawake wenzio?
Unampa za uso😂🙌Kwa hiyo bodypray inamezwa?
Beki tatu hata wakiume wapo
Humu wajuaji ni wengi sanaKwa hiyo bodypray inamezwa?
Beki tatu hata wakiume wapo
Hamna,mi simuelewi, mwenzie wa kiume anauliza mafuta anamwambia atumie hiyo body mist ya kike"secret of lady"namuuliza anaanza nibeza as if siijui wakati ni product ya mjasiriamali hapo Arusha 😂Unampa za uso😂🙌
🤣🤣BalaaHumu wajuaji ni wengi sana
😂 Achana nae, mshamba tuHamna,mi simuelewi, mwenzie wa kiume anauliza mafuta anamwambia atumie hiyo body mist ya kike"secret of lady"namuuliza anaanza nibeza as if siijui wakati ni product ya mjasiriamali hapo Arusha 😂
Unapiga punyeto?Shkamooni wakuu over 24+ Inakuwaje wakuu under <23.
Nauliza ni mafuta gani mazuri (skin care routine) ambayo nikitumia sitowahi kubadili?
Name & Price (bei za kawaida) na ni wapi naweza kuyapata? Ikipendeza drop na picture yake.
🤣🤣🤣Sawa😂 Achana nae, mshamba tu
RaysShkamooni wakuu over 24+ Inakuwaje wakuu under <23.
Nauliza ni mafuta gani mazuri (skin care routine) ambayo nikitumia sitowahi kubadili?
Name & Price (bei za kawaida) na ni wapi naweza kuyapata? Ikipendeza drop na picture yake.
Sema kweli?Mwenyewe napakaa hayohayo for years.. ni mazuri sana[emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wanatafuta kung'arisha ngozii, rangi ya giza fa mchezo nn, woiiiihWanaume si mmekubaliana mkitoka kuoga mnajikung’uta km mbwa hakuna kupaka mafuta, hizo ni tabia za kimama?!
Kwani mlichana katiba?[emoji12]
hatari sana kuna vitu vinaweza kuzua taharuki😱Paka tu vaseline for men mkuu
View attachment 2808058
ishapitwa na wakati ...saivi wajanja tunatumia EVOO tukitaka kupitia mlango wa nyumaKY jerry
haiitwi body pray we mama punguza pyepyepye kamdomoKwa hiyo bodypray inamezwa?
Beki tatu hata wakiume wapo
Sawa baba lady's secrethaiitwi body pray we mama punguza pyepyepye kamdomo
Labda miruziUnapiga punyeto?