Ntakuzibua
JF-Expert Member
- Oct 3, 2018
- 714
- 1,253
Usisahau kupaka na kwenye matako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hi inatofauti gani mkuu na hiyo yakoPaka tu vaseline for men mkuu
View attachment 2808058
Yes kwa kuwa amesema yupo kwenye modelling yatakuwa malainiUsisahau kupaka na kwenye matako
🤣🤣🤣🤣Mi huwaga napaakaga utomvu wa ndizi nachanganya nandimu mkuu ngozi yangu inan'gaa na inanata saNa
Imekaa vizuriLabda miruzi
Yote sawa, hiyo yako imeongezwa tu perfume.. nadhani unaona ina kiharufu flani hivi kizuriiiiHi inatofauti gani mkuu na hiyo yakoView attachment 2812941
Yeah,, wakati wa joto hua yanaleta jasho sanaHaya mafuta kwa joto la dar ni kipengele [emoji35][emoji91]
Yeah,, napaka vaseline 😆😆Sema kweli?
Comment namba ngapikupitia hii Thread nimejifunza kitu
nimepitia karibia comment zote ila mafuta mazuri yametaja mara moja tu na hata muhusika kapuuza sijaona kureply hiyo comment
Na hipo hivyo hivyo hadi kwenye maisha halisi kuna watu huwa wanaongea sana ila anaejua ukweli ni moja tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
BehaveHebu ngoja kwanza, wanaume tunapakaa mafuta kwani siku hizi, si tulikubaliana kuwa mafuta kazi yake ni kupikia, kuweka kwenye gari na kuwashia moto tu au?
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Hii kiboko!mafuta yangu pendwa sana
Bas hongeraaYeah,, napaka vaseline [emoji38][emoji38]
Nimeingia google kuuliza hiki ulichokiuliza na wamenileta jf kukutana na uzi wako. Naomba jibu kutoka kwako baada ya kupata jawabu sahihi. Je, ni mafuta gani? Wachangiaji wengi nimeona wamesema NIVEA na VASELINE.Nimeshapata wakuu, @Mods mnawezamkafuta tuu huu uzi maana unaniletea usiku.