Mafuta mazuri ya kujipaka kwa mwanaume

Mafuta mazuri ya kujipaka kwa mwanaume

Dunia ni kijiji ipo siku tutaonana ila umesimama African woman kwa ngozi ilivyo laini hivyo utakua upo daslm ungekua huku mbwinde ningeona tofauti...
Nipo Kilosa mkuu huku kwa wamasai 😂😂😂
 
Nipo Kilosa mkuu huku kwa wamasai 😂😂😂
Ngoja siku nivunje kibubu nije kutembelea daslm hapo ningeona mbuzi au kuku kijijini ukipiga picha lazima wapite pite hao huwezi kuwazuia...
 
Mleta mada mwenyew mchambaji kuna msaada hapa anataka kwer 🤣
 
Usitake kujua Bei ya mafuta. Sema tu ukowapi, wanaume wstakununulia na kukuletea ulipo.
 
Marahaba. Sifa ya mwanaume ni ukavu na ugumu. Ni kiungo kimoja tu kwa mwanamume ndo kinaweza hitaji mafuta kama ile njia ni kavu sana
 
Heshimuni hawa vijana wenye mionekano, ndo hua wanawakazia wake zenu mnawakuta wanafuraha mkiwaacha mkaenda kukata mikaa huko porini afu leo mnawatukana[emoji16]
 
Kumbe hata hujui kazi ya Perfume na Body Spray na hausemi
Sasa mkuu wewe umeona uzi unahusu mafuta, umepost kitu kingine nauliza kinasaidia nini unaleta mambo ya kama unakejeli hivi... sasa umeshindwa nini kusema tu maybe inasaidia harufu nzuri?
 
Back
Top Bottom