Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Nipo Kilosa mkuu huku kwa wamasai 😂😂😂Dunia ni kijiji ipo siku tutaonana ila umesimama African woman kwa ngozi ilivyo laini hivyo utakua upo daslm ungekua huku mbwinde ningeona tofauti...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo Kilosa mkuu huku kwa wamasai 😂😂😂Dunia ni kijiji ipo siku tutaonana ila umesimama African woman kwa ngozi ilivyo laini hivyo utakua upo daslm ungekua huku mbwinde ningeona tofauti...
Yesss mama🤣😂😂😂😂 We kumbe una foni namba zangu?
Hapendi mabest 😂😂si ndio tuwe ma bestee my bonite in spanish
Eti eee 😂😂😂Yesss mama🤣
Unawaringishia tu hiyo kitu kwa picha embu waachie vija wa eat it...
Ngoja siku nivunje kibubu nije kutembelea daslm hapo ningeona mbuzi au kuku kijijini ukipiga picha lazima wapite pite hao huwezi kuwazuia...Nipo Kilosa mkuu huku kwa wamasai 😂😂😂
We kirikuEti eee 😂😂😂
Bas sawa
😂😂😂 hapo walitoka mara moja ila wapo wengi mkuuNgoja siku nivunje kibubu nije kutembelea daslm hapo ningeona mbuzi au kuku kijijini ukipiga picha lazima wapite pite hao huwezi kuwazuia...
Kirikou hujalala? Ntakuchapa 😂😂😂We kiriku
haya bhana ila binadam sio milima tutakutana tuHapendi mabest 😂😂
Wakati tumafundishwa kutofautisha 'R' na 'L' wewe ulikua unawaza kiporo cha wali nyumbaniKY jerry
Ndiyo!Ya kiume au?
Haina shida. Kikubwa si umeelewa?Wakati tumafundishwa kutofautisha 'R' na 'L' wewe ulikua unawaza kiporo cha wali nyumbani
Apo ndo kanichanganya huyo binadamuKumbe hata hujui kazi ya Perfume na Body Spray na hausemi
Sasa mkuu wewe umeona uzi unahusu mafuta, umepost kitu kingine nauliza kinasaidia nini unaleta mambo ya kama unakejeli hivi... sasa umeshindwa nini kusema tu maybe inasaidia harufu nzuri?Kumbe hata hujui kazi ya Perfume na Body Spray na hausemi