Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yakoje haya mkuu na bei yake ? nafahamu yale ya chupa ya blue !!Tumia paratute yenye spices utakuja shukuru one day
Mnapaka mate au siyo?acha mambo ya kijinga, mwanaume unapaka mafuta ili iweje. hatupaki mafuta
Mafuta mazuri na sabuni ya kuogea nzuri inapunguza kwa kutonuka jasho kama beberu...Nikajua unaulizia mafuta ya kula kumbe ya kupaka?
Kuanzia lini Mwanaume akapaka mafuta?
ile ya chupa nyeupe ni safi sanaNivea made ya Spain au Germany usinunue ya Kenya inakua kama wametwanga mihogo...
Yap ingine unaikuta na maandishi ya kijani..ile ya chupa nyeupe ni safi sana
Mafuta ya nywere Hair food Black chic...ile ya chupa nyeupe ni safi sana
Miaka nenda rudi ndio mafuta nayotumia ntabadilisha flavour tu mara Avocado au Hair food treatment hayo mafuta yana balaa sana kaburu kamaliza hapo...Black chick niliitumia see oyaa sio poa