Mafuta ya Gari kupanda tena Jumatano kwa Tsh 300 mpaka 400. Wakubwa waneemeke

Mafuta ya Gari kupanda tena Jumatano kwa Tsh 300 mpaka 400. Wakubwa waneemeke

Nimepita sheli jamaa anasema kabisa mafuta hamna kwa wale wanaotaka mafuta mengi halafu. Akaendelea kusema mafuta yamefichwa mpaka jumatano ambapo yatapanda bei.
Ni namna flani hivi ya kumnyoosha mwananchi anaepambana kuishi maisha yake chini ya Tsh 2500 kwa siku
Vituo vyote Maeneo ya kisemvule,vikindu,mwandege na kongowe hakuna MAFUTA wanasubiri kesho wapige hela
 
Vyama kama TABOA,TAMSTOA,NAKOBOA etc sijui wanasubiri nini kupandisha nauli na gharama za usafirishaji.

Mafuta yamepanda kwa karibia 20% ndani ya muda mfupi ila wapo tu.

Inatakiwa common mwananchi alambishwe shubiri kisawasawa.
Hata mimi nashangaa wakati huu sijui wamekuwaje,wakat miaka iliyopita hapo zaman mafuta yalikuwa yakipanda tu kidogo nauli nazo zinapanda na bidhaa karibia zote zinapanda,lakin sasa nitofauti
 
Kwa mara ya kwanza leo nimepanga foleni kupata mafuta lakin napo nimeyakosa

Nimekaa kwenye foleni kama dk 45 hv,baadae boss wa kituo cha mafuta akatoka ofisin na kusema mafuta yameisha akarudi ndani

Wakat huo watu wanaendelea kupewa mafuta,baadae akatoka tena na kuwaambia wafanyakaz wake kuwa mashine ikivuta upepo atawafukuza kazi,ikabid nao wasitishe kutoa mafuta

Nimekaa nikatafakar sana,mpaka nikafikiria kwanini boda boda wasijichange wakatengeneza kituo chao cha mafuta kila wilaya maana wao ndo walikuwa wamejazana pale
 
Si makamba kaondoka uko inakuaje bei kupanda?
Nina uwakika KIZIMKAZI hajui kuhusu kupanda bei na kufichwa kwa maksudi mafuta mpk kila juma5 ya mwanzo w mwezi ili wawatandike watanganyika.
Ukitaka kumfurahisha KIZIMKAZI mwambi kuna nafasi ya KUTEUA na KUTENGUA hapo ndipo utajua nguvu zake.
Makamba kaondoka kaharibu
 
Back
Top Bottom