kingundya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 2,000
- 3,352
Watu tuliowapa dhamana ya kutuongoza wamechagua kikundi kidogo cha watu kipate neemaVituo vyote Maeneo ya kisemvule,vikindu,mwandege na kongowe hakuna MAFUTA wanasubiri kesho wapige hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu tuliowapa dhamana ya kutuongoza wamechagua kikundi kidogo cha watu kipate neemaVituo vyote Maeneo ya kisemvule,vikindu,mwandege na kongowe hakuna MAFUTA wanasubiri kesho wapige hela
Kaharibu ndio wamemuamishaMakamba hii wizara kaiharibu sn
Mkuu ni aibu..Makamba alikuwa laana kwenye hii wizara, ni sawa na mama'ke tu nae alivyo laana kule juu.
Tuna viingozi wasiomjali kabisa mwananchi wa kawaida, wao wamejiweka karibu na wafanyabiashara wamewaacha wafanye wanachotaka, mambo ya kijinga sana yanayoendelea nchi hii kwa sasa.
Upo mkoa gani mkuuKwa mara ya kwanza leo nimepanga foleni kupata mafuta lakin napo nimeyakosa
Nimekaa kwenye foleni kama dk 45 hv,baadae boss wa kituo cha mafuta akatoka ofisin na kusema mafuta yameisha akarudi ndani
Wakat huo watu wanaendelea kupewa mafuta,baadae akatoka tena na kuwaambia wafanyakaz wake kuwa mashine ikivuta upepo atawafukuza kazi,ikabid nao wasitishe kutoa mafuta
Nimekaa nikatafakar sana,mpaka nikafikiria kwanini boda boda wasijichange wakatengeneza kituo chao cha mafuta kila wilaya maana wao ndo walikuwa wamejazana pale
Iliyo laanika.Ukisikia nchi iliyofitinika ndio hii
2500 kwa lita mkuuEbu tupeni na bei ya mafuta ya kule kizmkazi tuone ipoje.
Mafisadi lazima yamlinde yamekamata mifumo ya nchiKaharibu ndio wamemuamisha
Kwa lipi wakati aliyajua haya majizi akapambana na waadilifu amekufa yameibuka yanaila nchi kwa mrija. Ale mboko zake huko alikoMwendazake "aliwaambia mtanikumbuka tena kwa mazuri si kwa mabaya"
Yaani kama Libya vile . Vp bado hamjamkumbuka!!!?
Tuna mifumo ya hovyo snNgozi nyeusi ina upumbavu wa milele.
Uafrika hasa utanzania ni laana.