Siri yangu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2023
- 1,426
- 2,845
Acha yapande tu sisi tununue Crown kwa bei rahisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani ni kama bado makamu wa rais na si rais kama kiongozi mkuu wa nchi, ile nafasi ya umakamu ndio ilimpendeza.Si makamba kaondoka uko inakuaje bei kupanda?
Nina uwakika KIZIMKAZI hajui kuhusu kupanda bei na kufichwa kwa maksudi mafuta mpk kila juma5 ya mwanzo w mwezi ili wawatandike watanganyika.
Ukitaka kumfurahisha KIZIMKAZI mwambi kuna nafasi ya KUTEUA na KUTENGUA hapo ndipo utajua nguvu zake.
Tusiendelee kuita hawa viongozi bali tuwaite watawala maana wanachofanya ni kututawala na si kutuongoza.Makamba alikuwa laana kwenye hii wizara, ni sawa na mama'ke tu nae alivyo laana kule juu.
Tuna viingozi wasiomjali kabisa mwananchi wa kawaida, wao wamejiweka karibu na wafanyabiashara wamewaacha wafanye wanachotaka, mambo ya kijinga sana yanayoendelea nchi hii kwa sasa.
Ni mbaya sana Mwananchi kuichukia nchi yake itafika kipindi raia watachoka alafu kitanuka🤔Ki aina wanalazimishwa wananchi kuichukua serikali! Hili si jambo zuri!
Nitarudi!
Chawa wako nipo hapa 🤣.nakuunga mkono daimaNgozi nyeusi ina upumbavu wa milele.
Uafrika hasa utanzania ni laana.
MwanzaUpo mkoa gani mkuu
Kuishi Afrika ni ngumu sana.Tuna mifumo ya hovyo sn
NomaaNgoma Tabora hiyo
Shida ni system imekaa vibaya snKuishi Afrika ni ngumu sana.
Kila sekta kuna upumbavu na hujuma za kila aina.
Hahaha biteko analo hili [emoji1787][emoji1787]Kwani Makamba bado yupo ?
Au ten tuMbona inapanda kidogo sana,ilitakiwa ipanfe hata buku saba
Mbona huku Zanzibar mafuta hayapandi bei, na mwezi huu yameshuka bei?Duniani kote
Kuna genge litaelekeza lawama kwa Dr. SlaaHili amenidokeza rafiki yangu mmoja mwenye Vituo vya mafuta. Walishakaa na Waziri wakawekana sawa na sasa ni utekelezaji. Kwa kweli jamaa anasema mama anaupiga mwingi mpaka unamwagika.
Watanzania endeleeni kunywa mtori. Nyama zipo chini. Nyingi tu. Ni nyie kufumbua macho. Msilale lale. Shauri yenu. Mkijashtuka.... its too late.
Hili amenidokeza rafiki yangu mmoja mwenye Vituo vya mafuta. Walishakaa na Waziri wakawekana sawa na sasa ni utekelezaji. Kwa kweli jamaa anasema mama anaupiga mwingi mpaka unamwagika.
Watanzania endeleeni kunywa mtori. Nyama zipo chini. Nyingi tu. Ni nyie kufumbua macho. Msilale lale. Shauri yenu. Mkijashtuka.... its too late.