PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Vituo vyote Maeneo ya kisemvule,vikindu,mwandege na kongowe hakuna MAFUTA wanasubiri kesho wapige helaNimepita sheli jamaa anasema kabisa mafuta hamna kwa wale wanaotaka mafuta mengi halafu. Akaendelea kusema mafuta yamefichwa mpaka jumatano ambapo yatapanda bei.
Ni namna flani hivi ya kumnyoosha mwananchi anaepambana kuishi maisha yake chini ya Tsh 2500 kwa siku
Upo wapi kati ya maeneo uliyoyataja nikuelekeze mahali ukapate wese!!??Vituo vyote Maeneo ya kisemvule,vikindu,mwandege na kongowe hakuna MAFUTA wanasubiri kesho wapige hela
Hata mimi nashangaa wakati huu sijui wamekuwaje,wakat miaka iliyopita hapo zaman mafuta yalikuwa yakipanda tu kidogo nauli nazo zinapanda na bidhaa karibia zote zinapanda,lakin sasa nitofautiVyama kama TABOA,TAMSTOA,NAKOBOA etc sijui wanasubiri nini kupandisha nauli na gharama za usafirishaji.
Mafuta yamepanda kwa karibia 20% ndani ya muda mfupi ila wapo tu.
Inatakiwa common mwananchi alambishwe shubiri kisawasawa.
Halafu kuna mbwa zinakwambia he is president materialMakamba hii wizara kaiharibu sn
Makamba kaondoka kaharibuSi makamba kaondoka uko inakuaje bei kupanda?
Nina uwakika KIZIMKAZI hajui kuhusu kupanda bei na kufichwa kwa maksudi mafuta mpk kila juma5 ya mwanzo w mwezi ili wawatandike watanganyika.
Ukitaka kumfurahisha KIZIMKAZI mwambi kuna nafasi ya KUTEUA na KUTENGUA hapo ndipo utajua nguvu zake.
Maku ya mmko!Mbona inapanda kidogo sana,ilitakiwa ipanfe hata buku saba
Nikipata pale kipati ..... asante Sana mkuuUpo wapi kati ya maeneo uliyoyataja nikuelekeze mahali ukapate wese!!??