Mafuta ya Gari kupanda tena Jumatano kwa Tsh 300 mpaka 400. Wakubwa waneemeke

Yani ni kama bado makamu wa rais na si rais kama kiongozi mkuu wa nchi, ile nafasi ya umakamu ndio ilimpendeza.
 
Tusiendelee kuita hawa viongozi bali tuwaite watawala maana wanachofanya ni kututawala na si kutuongoza.
 
Acha inyeshe tuone panapovuja!
Bila kupepesa macho mimi ni team MAGUFULI.
Sioni dhulma na ufisadi vikiisha bila kupata kiongozi wa aina ya Magufuli
 
Field Marshal Putin tusamehe basi sisi waja wako, tumekosa sana tumekosa sana, tumekosa sana, ndio maana tunakuinamia Baba Putin, tusaheme sana
 
Kuna genge litaelekeza lawama kwa Dr. Slaa
 

Kazi iendelee,Mikumi Tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…