Mafuta ya kupikia yaadimika mitaani

Sijasikia hata siku moja malighafi ya kuzalishia "Korie" ama "Singida" kuagizwa toka Ukraine ama Russia!

Au wazungumzia Petrol products?
 
Sijasikia hata siku moja malighafi ya kuzalishia "Korie" ama "Singida" kuagizwa toka Ukraine ama Russia!

Au wazungumzia Petrol products?
Most ya mafuta ya kupikia yametoka nje Ila kinachofanyika hua ni kuyapaki kwenye ndio tu kwa hapa kwetu.
Viwanda vya uzalishaji mafuta singida,Kigoma ni 45%
 
Namshabikia Putin Tena Sana,
Na kwenye hili wala msingizie, mafuta yamepanda Bei kabla ya vita. Tuache uongouongo
 
Sasa wewe unakuja na suluhisho la mda mrefu badala ya suluhisho la mda mfupi.

Hakuna anaemhujumu bali demand ni kubwa kuliko supply,na hujataja ni mafuta yapi hayo.

Kama ni ya kula sio lazima utumie ya alizeti bali tumia mengine.

Bei hiyo ndio iliyopo mtaani na hayajaadikika ila yamepanda.
 
Namshabikia Putin Tena Sana,
Na kwenye hili wala msingizie, mafuta yamepanda Bei kabla ya vita. Tuache uongouongo
Ngoja nikupe mfano
Miaka yote mafuta ya alizeti kwa singida huwa 50k Hadi 75k kwa January Hadi April.Baada ya Covid19 November 2020 dumu lilifika 100k na Last season dumu lilianzia 75k Hadi 110k kwa September 2021

Lakini baada ya Putin kuvamia Ukraine yamefika 140k na kwa sisi wakulima wa alizeti tunataka yafike 200k kabisa
 
Kazi iendelee...
Mama anaupiga mwingi sana...
Muacheni mama apige kazi...
Hakuna kama Samia ndani ya miezi 6 tu....

Kupata vibonzo vingine kama hivi bonyeza CM 1774858 ama Mtanzania Halisi2021
Tulia wewe mama afungue Nchi,kulalamika hakutafanya bei ipungue.

Demand ya mafuta ni kubwa kuliko uzalishaji na mnavyozidi kuzaa ndio mtajua hamjui.
 
Unajua hapa ndio wengi mnafeli, wewe unalima alizeti unasema dumu lifike 200k ili upate pesa nyingi, sawa Ila hapohapo ukienda kununua vitu vya kukaangaa utavinunua kwa Bei kubwa. Unarudi pale pale
Inflation inakuongezea pesa nyingi mfukoni, alafu hapohapo inachukua nyingi mfukoni kwako kununua mahitaji
Mfano mwingine
Ni Bora ulipwe laki 3 kwa mwezi alafu chakula ununue kwa kwa laki 2, au ulipwe laki 2 alafu chakula ununue kwa elfu hamsini?
 
Kuanzia Juma tatu iliyopita, bei ya mafuta takribani aina zote imelingana.
 
Hii inchi ina laana..kuanzia viongozi hadi wanachi wenyewe..

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…