Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Mkuu upo Tz hii?Lita 5 = Tzs 30,000/=
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu upo Tz hii?Lita 5 = Tzs 30,000/=
Sijasikia hata siku moja malighafi ya kuzalishia "Korie" ama "Singida" kuagizwa toka Ukraine ama Russia!Si mnamshabikia Putin?
Tanzania inazalisha 45%ya mahitaji yake ya mafuta ya kula na huagiza 55% toka Malaysia, India na Uturuki.
Duniani mzalishaji mkubwa wa mafuta ni Ukraine, sasa baada ya uvamizi wa Urusi, Ukraine amestop uzalisha na Rassia anaemfuatia amewekewa vikwazo hivyo mafuta ya Uturuki saivi yanaenda ulaya na ya Malaysia yanaenda Japan na Korea ili kuziba pengo la mafuta ya Urusi na Ukraine ambapo hayapo sokoni. Na Korea na Japan wananunua Bei nzuri kuliko sisi
Mungu ajalie mvua Ifike mwezi wa 4 nivune alizeti yangu ni jenge.
Most ya mafuta ya kupikia yametoka nje Ila kinachofanyika hua ni kuyapaki kwenye ndio tu kwa hapa kwetu.Sijasikia hata siku moja malighafi ya kuzalishia "Korie" ama "Singida" kuagizwa toka Ukraine ama Russia!
Au wazungumzia Petrol products?
Namshabikia Putin Tena Sana,Si mnamshabikia Putin?
Tanzania inazalisha 45%ya mahitaji yake ya mafuta ya kula na huagiza 55% toka Malaysia, India na Uturuki.
Duniani mzalishaji mkubwa wa mafuta ni Ukraine, sasa baada ya uvamizi wa Urusi, Ukraine amestop uzalisha na Rassia anaemfuatia amewekewa vikwazo hivyo mafuta ya Uturuki saivi yanaenda ulaya na ya Malaysia yanaenda Japan na Korea ili kuziba pengo la mafuta ya Urusi na Ukraine ambapo hayapo sokoni. Na Korea na Japan wananunua Bei nzuri kuliko sisi
Mungu ajalie mvua Ifike mwezi wa 4 nivune alizeti yangu ni jenge.
Sasa wewe unakuja na suluhisho la mda mrefu badala ya suluhisho la mda mfupi.Kuna watu wanamhujumu Mheshimiwa Rais na pengine yeye hajui hili. Kwa sasa huku mitaani mafuta ni adimu sana, na pale ambapo yanapatikana basi bei yake haishikiki. Dumu/Ndoo ya Lita 20 iliyokua ikiuzwa TZS 70,000/- mwezi wa sita mwaka jana leo inauzwa TZS 140,000/-
Aliekua Waziri wa Kilimo Prof. Adolf Mkenda alipata kusema kua sababu ya kupanda huku ni kuadimika Kwa vibarua huko Malaysia sababu ya COVID-19. Kigoma inaongoza Tanzania Kwa kuzalisha chikichi, je wameweza kuchukua mazao yote yanayozalishwa pale mpaka yakaisha imebidi waagize Malaysia sasa?
Kwanini wasi encourage na ku facilitate kilimo hiki Kwa hapa Tanzania mpaka tulazimike kuagiza nje? Singida wanalima sana Alizeti, na mikoa ya kusini wanalima sana Ufuta, je mazao haya yamechukuliwa yote na bado kukawa na upungufu wa mafuta?
Haya maeneo (Singida na Mikoa ya Kusini) bado kuna mapori mengi tu, kama wanazalisha malighafi za mafuta na bado hazitoshi kwanini Serikali isiwawezeshe basi kuongeza zaidi maeneo ya kulima kwenye hayo mapori yaliyobaki ili kuongeza zaidi malighafi hizi?
Sasa kuna Hussein Bashe kwenye hii Wizara, nilidhani ni mtu Smart lakin naona nae mfumo umemmeza, amesha adopt tabia za mfumo alioko. Juzi nimemsikia akiwa mkali kweli kweli juu ya kupanda Kwa mbolea kutoka 108,000/- Kwa gunia mpaka 140,000/-, lakini nimkumbushe tu hata hiyo 108,000/- bado tunapigwa, kwani hapo kabla ilikua haizidi 60,000/-
Mafuta Sasa hayako tena mitaani, wenye vigenge/duka wanasema Kwa yalivyopanda bei hata wakiyaleta hawajui watauzaje. Mafuta yanagusa kila mtu, isije ikawa ni bomu linategwa kwenye most consumable products ili likilipuka liguse sehemu kubwa ya watu. Zama hizi za "Kazi Iendelee" tunashuhudia mfumuko mkubwa wa Bei.
Mafuta yameanza kupanda kabla ya vita, wacheni ujingaMafuta sehemu nyingi tuu sio tz tu. Nilikuwa nafikiri sababu ni vita ya Ukraine
Ngoja nikupe mfanoNamshabikia Putin Tena Sana,
Na kwenye hili wala msingizie, mafuta yamepanda Bei kabla ya vita. Tuache uongouongo
Kumbe yapo na mnaweza kununua,mtazoea tuu 😄😄
Hilo ulilosema linaeleweka na ni sahihi, lakini kusema mawese na alizeti tuna import kutoka Ukraine na Russia siyo kweli.Most ya mafuta ya kupikia yametoka nje Ila kinachofanyika hua ni kuyapaki kwenye ndio tu kwa hapa kwetu.
Viwanda vya uzalishaji mafuta singida,Kigoma ni 45%
Tena toka 2019 mafuta ya alizeti yalianza kupandaMafuta yameanza kupanda kabla ya vita, wacheni ujinga
Wanataka uwaambia yameanza baada ya kifo Cha jiwe.Tena toka 2019 mafuta ya alizeti yalianza kupanda
Tulia wewe mama afungue Nchi,kulalamika hakutafanya bei ipungue.Kazi iendelee...
Mama anaupiga mwingi sana...
Muacheni mama apige kazi...
Hakuna kama Samia ndani ya miezi 6 tu....
Kupata vibonzo vingine kama hivi bonyeza CM 1774858 ama Mtanzania Halisi2021
Unajua hapa ndio wengi mnafeli, wewe unalima alizeti unasema dumu lifike 200k ili upate pesa nyingi, sawa Ila hapohapo ukienda kununua vitu vya kukaangaa utavinunua kwa Bei kubwa. Unarudi pale paleNgoja nikupe mfano
Miaka yote mafuta ya alizeti kwa singida huwa 50k Hadi 75k kwa January Hadi April.Baada ya Covid19 November 2020 dumu lilifika 100k na Last season dumu lilianzia 75k Hadi 110k kwa September 2021
Lakini baada ya Putin kuvamia Ukraine yamefika 140k na kwa sisi wakulima wa alizeti tunataka yafike 200k kabisa
Upo sahihi kabisa, vita vinasingiziwa tuTena toka 2019 mafuta ya alizeti yalianza kupanda
Kutosikia wewe hakufanyi yasipande, yaani ukiacha ngano, Ukraine na Russia ni wazalishaji wakuu wa mafuta ya alizeti na mbolea.Sijasikia hata siku moja malighafi ya kuzalishia "Korie" ama "Singida" kuagizwa toka Ukraine ama Russia!
Au wazungumzia Petrol products?
Kuanzia Juma tatu iliyopita, bei ya mafuta takribani aina zote imelingana.Sasa wewe unakuja na suluhisho la mda mrefu badala ya suluhisho la mda mfupi.
Hakuna anaemhujumu bali demand ni kubwa kuliko supply,na hujataja ni mafuta yapi hayo.
Kama ni ya kula sio lazima utumie ya alizeti bali tumia mengine.
Bei hiyo ndio iliyopo mtaani na hayajaadikika ila yamepanda.
Vita vimeongezea Kasi kwa sababu mifumo ya supply imevurigwa kwa vikwazo.Upo sahihi kabisa, vita vinasingiziwa tu
Mkuu malawi mafuta ya kupikia 1litter ni 3500 tzsVipi kuhusu nchi za jirani Kama Kenya, Uganda, Malawi, Zambia, Rwanda au Burundi. Tujiulize je na wao mfumko wa Bei ni huu huu?
Ndio hivyo na ombeni mvua zisikate mapema maana naona mwezi wa 4 zikikata wakati zilichelewa basi Mazao mengi yataharibika na bei itazidi kupanda mara dufu.Kuanzia Juma tatu iliyopita, bei ya mafuta takribani aina zote imelingana.
Hii inchi ina laana..kuanzia viongozi hadi wanachi wenyewe..Nchi kama malaysia walijikita kwenye kilimo cha chikichi ambapo mbegu walitoa kigoma, leo hii wana export kwenye soko la dunia mafuta ya chikichi kama hawana akili nzuri, pale kigoma waha wanazubaa na michikichi yao..........bongo kufanya initiatives zenye maslahi mapana na ya kudumu ni mtihani.