Magaidi wa ISIS wenye mlengo wa kiislamu wakiri ndio waliua kwenye msikiti Afghanistan

Maalim Ishaq Malima.. mazinge anazunguka na wasoma vitabu wake wenye majina ya ahmad,Salim etc..ni vijana aliowatoa Madrasa

Ila Ndacha wasoma vitabu wake sio wa kutoka Sunday school,wasomaji wake karibu wote ni akina akina abdul,Ahmed,salim.
Ni vijana waliowai pigwa supana za kutosha na ndacha ikabidi walivet.
Mazinge na uzee wote huo kulia ndani ya msikiti si jambo dogo.😂
 
Reactions: 511
Pambana na matatizo yako African man, waislam waarabu wanayakwao ..kwanini nchi zote za waafrika weusi zipo taabani? Ukiondoa Tunisia Algeria Moroco na za South zenye wazungu,upo hapa kila kukicha waislam tushakuchoka na chukizako..haya nenda kawatilie sumu Mombasa mbakie wakristo.
 
ISS

Taliban na Isis hawa WOTE si Sunni? Au Wana itikadi tofauti za kiimani?
MK254 nisaidie nipate kujua
ISIS they are not muslims ... Wema waliotangulia ambao ni masahaba na wanafunzi wa masahaba.. hawakuishi kwenye taratibu hizi .. ISIS wanaendeshwa na CIA na ndio maana all CIA dirty jobs wanafanya wao .. kama ile ya urusi
 
ISS


ISIS they are not muslims ... Wema waliotangulia ambao ni masahaba na wanafunzi wa masahaba.. hawakuishi kwenye taratibu hizi .. ISIS wanaendeshwa na CIA na ndio maana all CIA dirty jobs wanafanya wao .. kama ile ya urusi
Allah who akbar
 
ISS


ISIS they are not muslims ... Wema waliotangulia ambao ni masahaba na wanafunzi wa masahaba.. hawakuishi kwenye taratibu hizi .. ISIS wanaendeshwa na CIA na ndio maana all CIA dirty jobs wanafanya wao .. kama ile ya urusi
Ok
 
ISS


ISIS they are not muslims ... Wema waliotangulia ambao ni masahaba na wanafunzi wa masahaba.. hawakuishi kwenye taratibu hizi .. ISIS wanaendeshwa na CIA na ndio maana all CIA dirty jobs wanafanya wao .. kama ile ya urusi
Naomba unijibu:

1. Kwa nini hao magaidi wa Isis wakubali kutumikia makafiri kufanya uovu wote huo kama kweli uislamu unapinga uovu huo.

2. Kwa nini Isis wenyewe hawakubali kwamba wanatumiwa na makafiri na badala yake wenyewe wanadai kumtumikia mungu wao anayeitwa allah.

3. Kwa nini hata siku moja waislam kote ulimwenguni hawajawahi kuandamana kulaani huu uovu unaofanywa na hivi vikundi vya kigaidi wakiwamo Isis.

4. Kama ni CIA ndio inawafadhili magaidi kwa nini basi wasiwatumie wakristo badala ya kuwatumia waislam na kwa nini hivi vikundi vyote vya kigaidi viwe vya waislam tu na sio dini zingine...⁉️⁉️⁉️
 
One word "politics"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…