Sometimes account inaweza kuwa na bluetick au yellow tick na ikapost propagand
ISIS hawahusiki kabisa, uyo mwamba alokamtwa Ni raia wa tajikstan na kakiri mwenyeweUnapambana sana kuwachomoa ISIS kwenye hicho kisa ili propaganda Putin zipate nafasi, bahati mbaya kwako ISIS wenyewe ndio wamekiri kufanya hilo tukio Moscow.
Endelea kuamini ni ISIS nawengine acha waamini wanayosema urusi.Unapambana sana kuwachomoa ISIS kwenye hicho kisa ili propaganda Putin zipate nafasi, bahati mbaya kwako ISIS wenyewe ndio wamekiri kufanya hilo tukio Moscow.
Ukraine anaenda kula ndoige za kutoshaUnapambana sana kuwachomoa ISIS kwenye hicho kisa ili propaganda Putin zipate nafasi, bahati mbaya kwako ISIS wenyewe ndio wamekiri kufanya hilo tukio Moscow.
YuleZelensky sio wa kubembelezwa yule.Aliwe kichwa
Wanajipa maujiko kwamba wako active sana.Isis Wana historia ya kukiri mashambulizi hata ambayo hata hawajahusika, rejea shambuliz la kigaidi turkey na Lile la Sept 11 kule USA
Hao ISIS wanatafuta ujiko tu waliofanya shambulizi hilo wameshakamatwa wa 4 mmoja ameuwawaSinema tu hapo,
ISIS wameshakiri ni wao.
Urusi walipewa tahadhari na West, Putin akazipuuza na akasema hizo ni taarifa za kuzua taharuki tu kwa Urusi(hadi video iko mitandaoni), sasa unafikiri atakubali ni ISIS??Endelea kuamini ni ISIS nawengine acha waamini wanayosema urusi.
Umefeli vipiNchi za magharibi ndio magaidi namba moja mpango wao umefeli
Wanataka kuisingizia UkraineSinema tu hapo,
ISIS wameshakiri ni wao.
Ngoja kwanza wakafinywe pumbu wamtaje aliyewatuma kuuwa raia.Zelensky sio wa kubembelezwa yule.Aliwe kichwa
Eti ushahidi wenyewe wamekamatwa wakiwa wanakimbilia mpakani mwa Ukraine![emoji1787][emoji1787]Wanataka kuisingizia Ukraine
Wanajifariji...wasionekane wadhaifu!!..Eti ushahidi wenyewe wamekamatwa wakiwa wanakimbilia mpakani mwa Ukraine![emoji1787][emoji1787]
Sinema tu hapo,
ISIS wameshakiri ni wao.
Naunga mkono hojaIS mwanzoni kilikuwa ni kikundi kilichokuwa kikitumika na US ili kumuondoa Assad Syria kabla kutangazwa kuwa kikundi cha kigaidi.Urusi akaingilia na kumbakisha Assad madarakani. IS juzi wameishambulia Iran ambaye ana uadui mkubwa na US,vilevile jana ameishambulia Russia ambaye US ana uhasama nae.Kwa mujibu wa Al Jazeera pamoja na vikwazo vyote vya US,Russia bado uchumi wake imara na ndio maana juzi US akaongeza vikwazo vingine mia tano kwa Russia.So inaonekana US hapendezwi na ukuaji wa kiuchumi wa Russia pamoja na vikwazo vyote ila Russia bado ipo imara na ukizingatia juzi Putin kashinda (80+) kwenye uchaguzi wa kuiongoza tena Russia kwa miaka sita mengine ,kwa nchi za EU na US kwao umekuwa mwiba mkali sana.
Hili sizani kama Russia atalitizama kijujuu,bali ataenda deep na akijua behind the scenes US aliwa saidia IS basi kisasi chake kitakuwa kikubwa,haijalishi kwamba US walikwisha wataharifu Russia au laah.
Ukraine mwezi huu kwake umekuwa mgumu kwani kishapoteza zaidi ya askari 2500,so may be inawezekana ikawa Ukraine, EU na US wapo nyuma ya hili, kwani vita ya Ukraine kuna Mercenaries wengi kutoka nchi ya EU na US wamepukutishwa na Russia tokea mwaka huu uanze wameingia kwenye phase nyingine toka operation ya kijeshi mpaka vita kamili na ndio maana mashambulizi ya sasa hivi kwa Ukraine ni mazito mno.
Nina uhakika Russia hatolitizama hili kwa mlengo wa kidini ataangalia kona zote na wanao uhusika atadeal nao haijalishi ni wataifa gani.
Marekani haijawahi tishiwa na Urusi hata siku moja. Hata USSR ilikuwa ni jino kwa jino sio kujikunyata mikono.IS mwanzoni kilikuwa ni kikundi kilichokuwa kikitumika na US ili kumuondoa Assad Syria kabla kutangazwa kuwa kikundi cha kigaidi.Urusi akaingilia na kumbakisha Assad madarakani. IS juzi wameishambulia Iran ambaye ana uadui mkubwa na US,vilevile jana ameishambulia Russia ambaye US ana uhasama nae.Kwa mujibu wa Al Jazeera pamoja na vikwazo vyote vya US,Russia bado uchumi wake imara na ndio maana juzi US akaongeza vikwazo vingine mia tano kwa Russia.So inaonekana US hapendezwi na ukuaji wa kiuchumi wa Russia pamoja na vikwazo vyote ila Russia bado ipo imara na ukizingatia juzi Putin kashinda (80+) kwenye uchaguzi wa kuiongoza tena Russia kwa miaka sita mengine ,kwa nchi za EU na US kwao umekuwa mwiba mkali sana.
Hili sizani kama Russia atalitizama kijujuu,bali ataenda deep na akijua behind the scenes US aliwa saidia IS basi kisasi chake kitakuwa kikubwa,haijalishi kwamba US walikwisha wataharifu Russia au laah.
Ukraine mwezi huu kwake umekuwa mgumu kwani kishapoteza zaidi ya askari 2500,so may be inawezekana ikawa Ukraine, EU na US wapo nyuma ya hili, kwani vita ya Ukraine kuna Mercenaries wengi kutoka nchi ya EU na US wamepukutishwa na Russia tokea mwaka huu uanze wameingia kwenye phase nyingine toka operation ya kijeshi mpaka vita kamili na ndio maana mashambulizi ya sasa hivi kwa Ukraine ni mazito mno.
Nina uhakika Russia hatolitizama hili kwa mlengo wa kidini ataangalia kona zote na wanao uhusika atadeal nao haijalishi ni wataifa gani.
Labda wanalipwa hela ndefu kutangaza sio bureIsis Wana historia ya kukiri mashambulizi hata ambayo hata hawajahusika, rejea shambuliz la kigaidi turkey na Lile la Sept 11 kule USA