Isuzu injectionMwanaJF,
Naomba tujadili magari magumu zaidi kwa mazingira ya Tanzania. Magari ambayo unaweza ukaendesha zaidi ya miaka 15+ bila shida kubwa kubwa. Services za kawaida na replacement ndogo ndogo.
Kwa uzoef wangu naona yafuatayo
1. Toyota Carina Ti
2. Rav 4 old model
3. Suzuki Escudo
4. Toyota Hilux
5.....
Naomba tuendeleze list
Hillux ni gari ya mstaafu mkuu? Upate model za sasa hivi lazima uipende..Gari za wastaasu hizo,vijana wa mjini kila miaka miwili au mitatu lazima abadili gari
Hilux model ya kisasa bei yake haipungui 80 mill,So itoe humo kwenye hilo groupHillux ni gari ya mstaafu mkuu? Upate model za sasa hivi lazima uipende..
Hii gari kitu haiwezi beba ni mimba tu!!Rav 4 old Niko nayo siwezi uza , sometimes nabebea tofali ,nginja nginja kama zote siidai chochote hii gariView attachment 3164377na sehemu za starehe inazijua inanipeleka yenyewe kama cyber truck.
Umaskini Mzee ndo maana tunatamba nazo na zinatusaidia kurahisisha mambo yetu mengi kujikwamua .Duu! unakaa na gari la mtumba kwa zaidi ya miaka 15? Huyu mwingine anajisifia kubeba matofali kwenye Toyota Rav 4. Kweli Wabongo tumeshindikana.
Carina is the BEST of all.Magari ambayo unaweza ukaendesha zaidi ya miaka 15+ bila shida kubwa kubwa. Services za kawaida na replacement ndogo ndogo.
Kwa uzoef wangu naona yafuatayo
1. Toyota Carina Ti
2. Rav 4 old model
3. Suzuki Escudo
Huu ni unyanyasaji wa gariRav 4 old Niko nayo siwezi uza , sometimes nabebea tofali ,nginja nginja kama zote siidai chochote hii gariView attachment 3164377na sehemu za starehe inazijua inanipeleka yenyewe kama cyber truck.
Mjapan akiiona hii atalia sanaRav 4 old Niko nayo siwezi uza , sometimes nabebea tofali ,nginja nginja kama zote siidai chochote hii gariView attachment 3164377na sehemu za starehe inazijua inanipeleka yenyewe kama cyber truck.
Mjapan akiiona hii atalia sana
Huu ni unyanyasaji wa gari
Niazime gari yako nitaweka mafuta [emoji23]Duu! unakaa na gari la mtumba kwa zaidi ya miaka 15? Huyu mwingine anajisifia kubeba matofali kwenye Toyota Rav 4. Kweli Wabongo tumeshindikana.
Roho ya paka na sidhani kama bado ipoIsuzu injection
😂 hakikaHii gari kitu haiwezi beba ni mimba tu!!