ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,355
- 4,260
Mdau futa hii inakuelezea jinsi gani uwezo wako kichwani ulivyo. Hivyo vitu ulivyotaja havishabihiani hata kidogo.Yaani ukiwa na akili za kimasikini jamani balaa. Yaani ni sawa na kuniambia ninunue shati la kudumu miaka 10 hahaha kama huna hela utaanza kifikiria hivyo