Land Rover Discovery hapana.Discover old model, nisan safari. Nisan patrol land crusel hard top
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Land Rover Discovery hapana.Discover old model, nisan safari. Nisan patrol land crusel hard top
Ni vile hakuna kitu unajua kuhusu magari gari ya 2000 ni taka taka wao wanaita scraper...hii ni 2024 na bei za magari ya miaka ya karibuni sio bei kubwa kama vitu uvijui kaa kimya tu hautapungukiwa kitu..Wewe nawe unaongeaga ujinga tu. Kwani gari za mwaka 2000 Zina shida gani,!?
Hajui huyu, hajaona current hilix modelsHillux ni gari ya mstaafu mkuu? Upate model za sasa hivi lazima uipende..
200-240, it depend na aina ya engineHivi hizi Toyota Hilux za kisasa, ubao una speed ngapi? Naona zinamwaga moto mno hadi kuunga misafara ya viongozi.
-Kaveli-
Kwenye defender 110/90 weka toleo kabisa maana zenye roho ya uvumilivu ni tdi 200/300 zingine hamna kitu labda mbio mfano puma.MwanaJF,
Naomba tujadili magari magumu zaidi kwa mazingira ya Tanzania. Magari ambayo unaweza ukaendesha zaidi ya miaka 15+ bila shida kubwa kubwa. Services za kawaida na replacement ndogo ndogo.
Kwa uzoef wangu naona yafuatayo
1. Toyota Carina Ti
2. Rav 4 old model
3. Suzuki Escudo
4. Toyota Hilux
5. Land Rover Defender 110
Naomba tuendeleze list
Umetisha sanaRav 4 old Niko nayo siwezi uza , sometimes nabebea tofali ,nginja nginja kama zote siidai chochote hii gariView attachment 3164377na sehemu za starehe inazijua inanipeleka yenyewe kama cyber truck.
Umesoma message yake ukamuelewa?Wewe nawe unaongeaga ujinga tu. Kwani gari za mwaka 2000 Zina shida gani,!?
Aisee DCM sijui jamaa waliiundaje, madude hayafi kirahisi rahisi yanadunda tu miaka na miakaWale wa City bus (daladala) msimsahau mchizi DCM, japo hayupo mtaani na wale wa Transit (malori) msimsahau Mzee FIAT
Gari haichoki Mkuu, labda wewe mtumiaji ndio uichoshe.Mkuu,
Haya magari unaendesha miaka 15 gari moja hiyo hiyo au unakuwa na gari zaidi ya moja siku nyingine unayapumzisha?
Maana ukiwa na gari zaidi ya moja siku nyingine unaipumzisha gari ya kwanza unatumia ya pili gari zinaweza kudumu sana kwa sababu zinagawana kazi.
Ukishasema "fanya service" ushakubali gari inachoka, ndiyo maana unafanya service.Gari haichoki Mkuu, labda wewe mtumiaji ndio uichoshe.
Huwa sijui kwanini watu wanawaza kutumia sana gari inachoka.
Fanya service kwa wakati, na matengenezo pale unapohisi dosari.
Gari sio kiumbe hai useme kinahitaji kupumzika.
Kwanini uingie gharama yote hiyo ya kumiliki magari mawili kwa kisingizio cha kukwepa gharama ya service ya gari moja wakati gharama ndio inapanda zaidi?.Ukishasema "fanya service" ushakubali gari inachoka, ndiyo maana unafanya service.
Gari ingekuwa haichoki usingehitaji kufanya service.
You are contradicting yourself.
Na hiyo service unayoisema, ikiwa unatakiwa kufanya service kila baada ya km X, ukiwa na magari mawili unabadilisha badilisha kutumia, kuzifikia hizo km X itakuchukua muda zaidi ya ukiwa na gari moja unalitumia kila siku.
Huelewi wapi hapo?
Siingii gharama. Kuwa na gari la backup ni jambo standard katika maisha.Kwanini uingie gharama yote hiyo ya kumiliki magari mawili kwa kisingizio cha kukwepa gharama ya service ya gari moja wakati gharama ndio inapanda zaidi?.
Gari halichoki na hata vipuri havichoki bali vipuri na gari lisilotunzwa vinachakaa na sio kuchoka.
Ukifuata maelekezo yaliyopo kwenye kitini cha gari husika linaweza kudumu hadi miaka 100.
Kuna mzee mmoja kijijini kwetu anayo ya mwaka 1993,tena ni ya petrolHilux ni ngumu sana
Tunapoteana sehemu moja ndogo tu ya hoja ya kuwa na gari mbili ili kuepuka gharama za matengenezo kwa kutokuchosha gari.Siingii gharama. Kuwa na gari la backup ni jambo standard katika maisha.
Tatizo unaishi maisha ya kimasikini halafu unafikiri kuishi maisha standard ni anasa na gharama.
Nyumba kuwa na gari moja maana yake Baba akiwa anaendesha hilo gari Mama hawezi kufanya shughuli nyingine za kutegemea gari mpaka Baba arudi.
Hayo si maisha standard, ni umasikini tu.
Tunapoteana sehemu moja ndogo tu ya hoja ya kuwa na gari mbili ili kuepuka gharama za matengenezo kwa kutokuchosha gari.
Hoja haikuwa kwenye haya uliyoyaleta sasa hivi.
Na pia usiweke kanuni ya jumla ya familia. Wako watu single wengi wenye magari hivyo hiyo hoja ya mama kukosa gari ni dhaifu na sio standard ya jumla ya maisha. Kuna watu tunaishi wenyewe (single).
Kanuni ni moja gari anakuwa nalo mtu mwenye matumizi nalo, wala sio lazima sana kuwa na gari ikiwa mizunguko yako haiathiriwi na kutokuwa nalo.
Turudi kwenye hoja ya msingi, kwa hiyo unakubaliana na mimi kuwa kuwa na gari mbili hakupunguzi gharama za matengenezo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii gari kitu haiwezi beba ni mimba tu!!
Waweke na picha za hayo magari tuyaone. Tuyajueuzi bila picha Sawa na pisi bila mbyususu
Passo?MwanaJF,
Naomba tujadili magari magumu zaidi kwa mazingira ya Tanzania. Magari ambayo unaweza ukaendesha zaidi ya miaka 15+ bila shida kubwa kubwa. Services za kawaida na replacement ndogo ndogo.
Kwa uzoef wangu naona yafuatayo
1. Toyota Carina Ti
2. Rav 4 old model
3. Suzuki Escudo
4. Toyota Hilux
5. Land Rover Defender 110
Naomba tuendeleze list