jamaa anastuka miaka 15??? mimi gari natumia ya urithi alinunua mzee mwaka 1995 mpaka leo chuma jino mojaBasi huu uzi haukuhusu wewe ni Tajiri sana nenda kajadili na kina GSM huko haoa tupo tunaokaa na gari mtumba miaka 15.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamaa anastuka miaka 15??? mimi gari natumia ya urithi alinunua mzee mwaka 1995 mpaka leo chuma jino mojaBasi huu uzi haukuhusu wewe ni Tajiri sana nenda kajadili na kina GSM huko haoa tupo tunaokaa na gari mtumba miaka 15.
TRA ni tatizoWazambia na Wamalawi wanaona kama tumerogwa kutokupenda magari mazuri na magari yao mazuri mengi yanapita hapa kumbe sisi mchawi wetu ni TRA ndio maana leo hii tunazungumzia gari za mwaka 2000.
Kaka badili gari chaaaaaaaaaaSubaru Forester 2002....nakimbilia km 300,000 vizuri kabisa
Nimeshindwa kabisa kuliacha....nina mengine ila hili siliachi 😀 😀 😀 very faithful servant... hata ukiniambia tunaenda Bukoba sasa hivi, tunamwaga oil tu tunaendaKaka badili gari chaaaaaaaaaa
Hivi Starlet na Vits zina utofauti?Ongezea hapo hizi;
- Corola Limited, 100 na 110
- Corona
- Sprinter
- Starlet
Ila kuna gari ni mikataba sana.
Kamashine kanatembea hatariSubaru Forester 2002....nakimbilia km 300,000 vizuri kabisa
aisee brother natafuta hizi chuma.Hilux 2001, Km468125, full Ac… Gari ina 20 yrs bongo na bado msumari
Zipo sema changamoto kupata ambayo imetunzwa vizuri ndio kipengele…Halaf pia kwa kiasi pia pick up hasa za zamani huwa ni nadra kukuta zinauzwa, unaweza ukaipata lakini utakuta imechoka sana…Kuna page ya Insta inaitwa Mjerumani mweusi huwa naonaga mara moja moja anazipost, unaweza ukapreview humoaisee brother natafuta hizi chuma.
hii lazima kanda ya ziwa moja hiiRav 4 old Niko nayo siwezi uza , sometimes nabebea tofali ,nginja nginja kama zote siidai chochote hii gariView attachment 3164377na sehemu za starehe inazijua inanipeleka yenyewe kama cyber truck.
Mbona ni Moja gari nyingi zikizonunuliwa kama ist kwanini hazionekani barabarani Kwa wingiVitz RS old model utakaa nayo hata miaka 20
Vitz zipo mpaka number AMbona ni Moja gari nyingi zikizonunuliwa kama ist kwanini hazionekani barabarani Kwa wingi
We ni maskini pia ila kujifaragua tu.Zaidi ya kumiliki gari za mitumba Gari mpya unaushia kuiona kwa TV tu.Yaani ukiwa na akili za kimasikini jamani balaa. Yaani ni sawa na kuniambia ninunue shati la kudumu miaka 10 hahaha kama huna hela utaanza kifikiria hivyo
Nahisi unabishana na toto la form two.Kwanini uingie gharama yote hiyo ya kumiliki magari mawili kwa kisingizio cha kukwepa gharama ya service ya gari moja wakati gharama ndio inapanda zaidi?.
Gari halichoki na hata vipuri havichoki bali vipuri na gari lisilotunzwa vinachakaa na sio kuchoka.
Ukifuata maelekezo yaliyopo kwenye kitini cha gari husika linaweza kudumu hadi miaka 100.