Magari ambayo unaweza kuendesha miaka 15 bila shida kubwa

Carina old model ni roho ya paka
 
Wazambia na Wamalawi wanaona kama tumerogwa kutokupenda magari mazuri na magari yao mazuri mengi yanapita hapa kumbe sisi mchawi wetu ni TRA ndio maana leo hii tunazungumzia gari za mwaka 2000.
TRA ni tatizo
 
Vitz RS old model utakaa nayo hata miaka 20
 
aisee brother natafuta hizi chuma.
Zipo sema changamoto kupata ambayo imetunzwa vizuri ndio kipengele…Halaf pia kwa kiasi pia pick up hasa za zamani huwa ni nadra kukuta zinauzwa, unaweza ukaipata lakini utakuta imechoka sana…Kuna page ya Insta inaitwa Mjerumani mweusi huwa naonaga mara moja moja anazipost, unaweza ukapreview humo
 
Yaani ukiwa na akili za kimasikini jamani balaa. Yaani ni sawa na kuniambia ninunue shati la kudumu miaka 10 hahaha kama huna hela utaanza kifikiria hivyo
We ni maskini pia ila kujifaragua tu.Zaidi ya kumiliki gari za mitumba Gari mpya unaushia kuiona kwa TV tu.

Unaweza kuta wewe ni fukara ila mwenzio maskini
 
Nahisi unabishana na toto la form two.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…