gambakhuffu
JF-Expert Member
- Jul 2, 2010
- 488
- 504
HahahahahahaKuna mtrekta mmoja unaitwa Catapila Ile hata baharini unakatiza ka kambare
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahahaKuna mtrekta mmoja unaitwa Catapila Ile hata baharini unakatiza ka kambare
Hii nayo nzuri na ukizingatia uimara wa brand za suzukiWakuu vipi kuhusu
Suzuki sx4 2007/2008
Cc 1490
Kwa hicho kicheko cha huhuhu nadhani hata hilo beemer x6 unaliskia kwa jujujuMr wangu ana BMW X6, na jmos nakanyaga mafuta mwenyewe Dar - Arusha via Dom, vipi unataka lift?
Hizo gari zenu za kitoto hapan kwa kweli, yaan mdada ana haha kisa crown, IST? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu wawe serious bas khaaah.
Nataka gari ambayo nikikaa kulia, kweli na drive ndinga, huhuhuh
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kwanza pole sana kwa muacho kiwango cha 5gJamii forums bhana,
Sisi wenye porsche macan tunacomment wapi na vi crossover vyetuNashukuru hatupo mbali mbali sana mie kwetu wapo watatu mmoja ana Jeep Grand Cherokee SRT, mwengine Range rover Velar na mkubwa kabisa ana G wagon ya 2018 ile! Mie nimeamua nijishikize na Jaguar F-Pace mambo yangu hayajakaa vizuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rumion ipo kwenye chat ila umbile lake kama Lunchbox dah inanipa ukakasi
Yaan nalowa chapa chapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukikumbuka ile ndinga unaloana kabisa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wapare wamenikamata kwa kweli, acha nikiri wazi kabisa.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] heheheh nacheka kwa kicheko cha jamuhuri! Wapare tuko juu kumbe japo hatuvumi
Wee unadhan kila mtu ana shida km unavowaza? PoleeeehMambo ya jamii forum hayo[emoji23][emoji23][emoji23] tupia picha ya hyo X6...sent from infinix X6[emoji2960]
Heeeeh wee uko na mie? Wazaz wangu wote wana gari za kutembelea, usidhan hapa naropoka, naona unaumia San poleeeh.''Mshua ana BMW''....BMW model ipi na ya mwaka gani? Kuna mwanangu last month kachukua BMW X3 kwa 12m tu all duty paid.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kwani cm na gari zinahusiana nini? Wapo wanaotumia Tecno na wana drive ndinga za maana, au unataka nikutajie? Mambo mengine uwage kimya unajidhalilisha buree, huo ni ushamba.Mkuu maisha ya mtandaoni kila mtu tajiri mtu anakwambia anamiliki BMW X6 na blablaa kibao ukija kwenye uhalisia ata hizo ist na passo anaishia kuziona road tu usafiri wake mkubwa daladala akibadili anapanda bodaboda[emoji23][emoji23][emoji23]. Sasa mtu anajitapa ana Bmw X6 gari ya m60 hukoo alaf anatumia sim ya kimasikini kama yangu infinix ndege ikipita angani network inakata[emoji23][emoji23][emoji23]
Unaelekea wapi?Naomba lifti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hapa mbavu sina, khaaaah.Subil mm nije na BMW si nitawazoa mpaka malecture na mamiss wa chuo kizima[emoji21][emoji21][emoji21]
Nmetembea lkn hii Aina ya Audi sijapata kuiona mpk leo nataman siku niione naikubali kinyama sijui wenzangu huko
Sishoboki kwa vitu km hivyo mie, halafu kanuni ya maisha yangu ni kujitafutia changu halali na sitegemei cha mtu, upo wee mtu?...ungekua we huyo jamaa ungempa mku.nd..ili Tu uendeshe ndinga Kali...afu we waonekana washoboka Sana... watoto namna yako mnafiri.ka Sana mjini ...hii mambo ya kushoboka wanayo maskini....maskini WA nchi hizi za kiafrika...wenzako wadosi hawashobokei ndinga kabisa..maana wanazaliwa wanazikuta....hata nyumba...Mimi wanangu nimejitahidi wasikue namna hii...Kwa kuwapa exposure nje ya nchi nakosafiri mara Kwa mara..shida mama Yao (mke wangu)..nae mshobokaji...lakini shida ni Ile Ile..anakotoka...umaskini....
Mimi Kama kungekua na good public transport tz nisingenunua ndinga...ama ningepaki Tu home..lakini ndio hivyo...gari yangu ya kawaida sana BMW X1....Nimekuja nayo toka Germany.....wala sishoboki ..wala wanangu....mama Yao.ndie anaeshobokea..nimemwagizia X5 BMW....
Jamani khaaaah hivi mbna mie naona kawaida San? Lakini humi watu wanaona ajabu khaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]K
Kwa hicho kicheko cha huhuhu nadhani hata hilo beemer x6 unaliskia kwa jujuju