Magari gani ya kununua nyakati hizi kwa kijana?

Magari gani ya kununua nyakati hizi kwa kijana?

I love BMW hasa X5 hizi advanced models. Zile za zamani body yake mbayaaaa...
Napenda hillux[emoji4] ford ranger, sijui namara... kiujumla napenda magari makubwa. Sitaki december niende na kamkebe nikabaguliwe[emoji23][emoji23][emoji23] ila sina hela ila jamani rumion, sijui probox sijui nn. Si bora ninunue carina ti. Unakuta kisharobaro kinaendesha rumion yake kimeweka wave, kinepaka supa black, amevaa supra midosho halaf amekaa kiupande anaendesha kamkebe kake anajiokitea warembo tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee jichukulie peps nakuja kulipa boss!

Hayo uliyotaja ndio magari sasa.

Siyo mtu unanunua gari alafu ukitaka kwenda kwenu unaanza kukimbizana na mabegi ubungo!

Hiyo rumion hivi watu wanaipendea nini?

Hivi kabisa mtu unatoa milioni 10 unachukua rumion
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi Karibuni nilikua naona IST ndo y vijana ila naona zimejaa nyingi na pia kuna wimbi kubwa la wizi wa IST

Vijana wenye hela naona wanakimbilia Crown maana sahivi zimejaa sana

Naombeni maoni yenu kua ni gari gani sahivi inafaa kijana wa uchumi wa kati ?
Gari zipo nyingi za uchumi wa kati ni wewe unapenda nini
 
Nashukuru hatupo mbali mbali sana mie kwetu wapo watatu mmoja ana Jeep Grand Cherokee SRT, mwengine Range rover Velar na mkubwa kabisa ana G wagon ya 2018 ile! Mie nimeamua nijishikize na Jaguar F-Pace mambo yangu hayajakaa vizuri
Hapo kwa range rover mie huwa akili inahama, kuna shost angu m1 danga lake alikua na Range Rover kali kinyama kudadadeki, mtoto anaenda nalo chuo, weekend tunakua nalo misele, afu mafuta nakanyaga mie,

Sijui Ali fail wapi eti akatoswa, ***** ningekua mie yule sponsor wallah Jah angenisamehe tyuuh, ningefanya vyovyote nimdhibiti awe chini yangu nahakikisha hafurukuti, yaan mtu ana mpunga, ndinga kali unaanzaje kutoswa daaaah.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], nikikumbuka ile ndinga hapan yaan,

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Vijana wa nguvu tunanunua tu Harrier, na prado japo hata old model kwa dalari,,,ama vipi cluger kwajil ya mipasho mitaani na club kujibebea totozi zenye vishundu yaani pisi kali,,,ama Alphad new model kubebana na masera kila weekend pale kidimbwi ama samaki samaki kujiokotea vijichura vya UDSM[emoji23][emoji23][emoji849][emoji344][emoji344][emoji344][emoji344][emoji344]....nimesikikaa hukooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo kwa UDSM sasa lol

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
I love BMW hasa X5 hizi advanced models. Zile za zamani body yake mbayaaaa...
Napenda hillux[emoji4] ford ranger, sijui namara... kiujumla napenda magari makubwa. Sitaki december niende na kamkebe nikabaguliwe[emoji23][emoji23][emoji23] ila sina hela ila jamani rumion, sijui probox sijui nn. Si bora ninunue carina ti. Unakuta kisharobaro kinaendesha rumion yake kimeweka wave, kinepaka supa black, amevaa supra midosho halaf amekaa kiupande anaendesha kamkebe kake anajiokitea warembo tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah manka hutak stress weyeeeh [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Hapo kwa range rover mie huwa akili inahama, kuna shost angu m1 danga lake alikua na Range Rover kali kinyama kudadadeki, mtoto anaenda nalo chuo, weekend tunakua nalo misele, afu mafuta nakanyaga mie,

Sijui Ali fail wapi eti akatoswa, ***** ningekua mie yule sponsor wallah Jah angenisamehe tyuuh, ningefanya vyovyote nimdhibiti awe chini yangu nahakikisha hafurukuti, yaan mtu ana mpunga, ndinga kali unaanzaje kutoswa daaaah.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], nikikumbuka ile ndinga hapan yaan,

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Anapanda passo kwa uchungu sahizi😅😅😅 shenzi! Watoto wa kipare na waganga ni === alisikika mlevi mmoja 😂😂😂
 
Back
Top Bottom