mamylove
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 1,085
- 1,780
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Shepu kama kindula cha mtoto yani,
Sent from my CPH2015 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Shepu kama kindula cha mtoto yani,
kama una hiyo hela sawa. la si hivyo endelea kuota na kuendesha gari la kwenye pichaMimi kama kijana wa kisasa naendesha hii Faru.Spacio,IST pamoja na takataka nyingine ni kwa ajili ya houseboys na housegirls.
View attachment 1797744
Kwani kijana hataki kusafiri?!Mada hapa ni kuhusu gari ya mizunguko ya mjini kwa kijana, sasa hiyo mitambo ya kazi na masafa marefu ya nini kwa kijana anayeishi Tegeta na kufanya kazi mwenge?
Mkuu ungeweka na jina ingependeza sana.. si wote tunafahamu magari kwa kuyaona picha tuKama hela si tatizo sana, na haupiti kwenye njia mbovu mbovu unaweza kuweka heshima mtaani
View attachment 1797727
View attachment 1797728View attachment 1797729
View attachment 1797733
Hivi trekta ni gari ama moja kati ya zana za kilimo?!Nadhani alikuwa ana maanisha anataka kununua Trekta. Maana hilo ndio limekaa kimkakati. Anaweza kulimia, kubebea mazao yake kutokea shambani na kukodisha kwa watu.
Mi napenda gari ngumu za kazi ambazo nikitaka kwenda popote zinafika bila vikwazo. Iwe on or off road nakatiza tu bila wasiwasi.Wewe mzee kwenye magari tunaendana sana
Aisee jichukulie peps nakuja kulipa boss!I love BMW hasa X5 hizi advanced models. Zile za zamani body yake mbayaaaa...
Napenda hillux[emoji4] ford ranger, sijui namara... kiujumla napenda magari makubwa. Sitaki december niende na kamkebe nikabaguliwe[emoji23][emoji23][emoji23] ila sina hela ila jamani rumion, sijui probox sijui nn. Si bora ninunue carina ti. Unakuta kisharobaro kinaendesha rumion yake kimeweka wave, kinepaka supa black, amevaa supra midosho halaf amekaa kiupande anaendesha kamkebe kake anajiokitea warembo tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Gari zipo nyingi za uchumi wa kati ni wewe unapenda niniHivi Karibuni nilikua naona IST ndo y vijana ila naona zimejaa nyingi na pia kuna wimbi kubwa la wizi wa IST
Vijana wenye hela naona wanakimbilia Crown maana sahivi zimejaa sana
Naombeni maoni yenu kua ni gari gani sahivi inafaa kijana wa uchumi wa kati ?
Hapo kwa range rover mie huwa akili inahama, kuna shost angu m1 danga lake alikua na Range Rover kali kinyama kudadadeki, mtoto anaenda nalo chuo, weekend tunakua nalo misele, afu mafuta nakanyaga mie,Nashukuru hatupo mbali mbali sana mie kwetu wapo watatu mmoja ana Jeep Grand Cherokee SRT, mwengine Range rover Velar na mkubwa kabisa ana G wagon ya 2018 ile! Mie nimeamua nijishikize na Jaguar F-Pace mambo yangu hayajakaa vizuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo kwa UDSM sasa lolVijana wa nguvu tunanunua tu Harrier, na prado japo hata old model kwa dalari,,,ama vipi cluger kwajil ya mipasho mitaani na club kujibebea totozi zenye vishundu yaani pisi kali,,,ama Alphad new model kubebana na masera kila weekend pale kidimbwi ama samaki samaki kujiokotea vijichura vya UDSM[emoji23][emoji23][emoji849][emoji344][emoji344][emoji344][emoji344][emoji344]....nimesikikaa hukooo
Hahahaah karibu sana.Daa nakula Exposure tu leo
Sasa ipelekwe wapi? Inabaki ndani tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23]Ukinunua gari aina hii ujue hiyo ni ndoa ya milele (tunasema ndoa ya kikristo) maana ukiichoka huna pa kuipeleka, utabakia nayo hadi kifo kiwatenganishe.
Hahahah manka hutak stress weyeeeh [emoji23][emoji23][emoji23]I love BMW hasa X5 hizi advanced models. Zile za zamani body yake mbayaaaa...
Napenda hillux[emoji4] ford ranger, sijui namara... kiujumla napenda magari makubwa. Sitaki december niende na kamkebe nikabaguliwe[emoji23][emoji23][emoji23] ila sina hela ila jamani rumion, sijui probox sijui nn. Si bora ninunue carina ti. Unakuta kisharobaro kinaendesha rumion yake kimeweka wave, kinepaka supa black, amevaa supra midosho halaf amekaa kiupande anaendesha kamkebe kake anajiokitea warembo tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ina sura kama Jeneza daaaa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Haaaaaaah iv yn[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo kwa UDSM sasa lol
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kenya zinaitwa probox miraa Yan za kubebea mirungiChukua probox Mkuu [emoji16]
Anapanda passo kwa uchungu sahizi😅😅😅 shenzi! Watoto wa kipare na waganga ni === alisikika mlevi mmoja 😂😂😂Hapo kwa range rover mie huwa akili inahama, kuna shost angu m1 danga lake alikua na Range Rover kali kinyama kudadadeki, mtoto anaenda nalo chuo, weekend tunakua nalo misele, afu mafuta nakanyaga mie,
Sijui Ali fail wapi eti akatoswa, ***** ningekua mie yule sponsor wallah Jah angenisamehe tyuuh, ningefanya vyovyote nimdhibiti awe chini yangu nahakikisha hafurukuti, yaan mtu ana mpunga, ndinga kali unaanzaje kutoswa daaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], nikikumbuka ile ndinga hapan yaan,
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Nisubr gogon hapo jumaTano tuinue woteHivi tunaanzaje kuachana? Kifo kitatutenganisha, tumeshafunga pingu za maisha.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Eeh mae. Kapsaaa. Kimkebe hapanaHahahah manka hutak stress weyeeeh [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app