Magari gani ya kununua nyakati hizi kwa kijana?

Haaaaaaah iv yn
Yaan pale Magu hostel opposite na Mawasiliano Tower, siku za weekend zinajipanga IST na crown, kuchukua totoz za UD, bas zenyewe zinaringa na kujiona zimepatia, mie huwa nachekaga had hoi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anapanda passo kwa uchungu sahizi[emoji28][emoji28][emoji28] shenzi! Watoto wa kipare na waganga ni === alisikika mlevi mmoja [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan had huwa nataman kumuuliza ali fail wapi? Km vipi angeomba hata msaada kwangu daaah, imebaki story tyuuh now.

Watoto wa kipare na waganga nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nawapenda wapare wako smart kwa kila kitu, afu wana swagger fulan za kipekee, hapo tyuuh mie ndo wamenikamata.

Waparee hoyeeeh [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama ni uhadimu basi atafute Renault cars
 
😅😅😅😅😅 heheheh nacheka kwa kicheko cha jamuhuri! Wapare tuko juu kumbe japo hatuvumi
 
Ukikumbuka ile ndinga unaloana kabisa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mambo ya jamii forum hayo😂😂😂 tupia picha ya hyo X6...sent from infinix X6🤭
 
Nashukuru hatupo mbali mbali sana mie kwetu wapo watatu mmoja ana Jeep Grand Cherokee SRT, mwengine Range rover Velar na mkubwa kabisa ana G wagon ya 2018 ile! Mie nimeamua nijishikize na Jaguar F-Pace mambo yangu hayajakaa vizuri
''Mshua ana BMW''....BMW model ipi na ya mwaka gani? Kuna mwanangu last month kachukua BMW X3 kwa 12m tu all duty paid.
 
Suzuki swift
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…