Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Now there ain't no way that you could kill the beats dead,Umenifanya ni go back to song 😅
Waarabu ni waafrika waliochangamkaExactly!
Ni wapi na lini alikuwa akiyaendesha hayo magari?
Na hata kama alikuwa anayaendesha mara moja moja, magari yote hayo ya nini?
Huyo jamaa na baba yake waliifanya Syria kama kampuni yao binafsi.
Russia hana lolote. Hela hana. Silaha zao ni kuukuu.Ndipo unapoanza kujiuliza..kama navyojouliza..Russia as a big bro...naye pia hajali chochote,huyo takataka alitakiwa awe jela!
Wanajaliana na kupendana kimaslahi tu,sio kwa ajili ya watu!
Gen Z hawawezi elewa
Ukomunist umeletwa na Ibilisi.Tawala hizi ni za kinafiki hence za kuogopwa sana; za kidini, kijamaa/komunisti; chama dola; kidikteta. Tawala za hivyo zina uchafu wa ajabu under the carpet. They always pretend to be government by the people and for the people but practically is quietly different.
Putin mwemyewe ni fisadi wa kufa mtu anauejaribu kuhoji utajiri wake anauliwaNdipo unapoanza kujiuliza..kama navyojouliza..Russia as a big bro...naye pia hajali chochote,huyo takataka alitakiwa awe jela!
Wanajaliana na kupendana kimaslahi tu,sio kwa ajili ya watu!
Musk na Zuck hawana hela kushinda Hizo Royal Family za Waarabu, we unakuta Familia Ina Utajiri zaidi ya Trilioni Dollar.Waarabu ndo wanaongoza kwa corruption za wazi kabisa bora hata Africa wanajificha, kuna mfalme wa Bahrain sijui , Jamaa Ana super high end cars kama buku aisee, sijui nilikua naangalia collection yake nikiwa nawaza what a waste.... maintenance tu ya hayo magari ambayo mengi hayatumiki ni kiasi gani..
Sipati picha kina musk,Zuckerberg and the likes wangekua wazee wa ku flex sijui kama mjini pangetosha
Siyo Bahrain ni Brunei anaitwa Sultan Hassanal Bolkiah ana magari zaidi ya 7000, huyo ndio funga kazi kwenye kufanya kufuru hao wafalme wa kiarabu wanasubiri, huku wananchi wake wengi wakiishi kwenye umasikini mkubwaWaarabu ndo wanaongoza kwa corruption za wazi kabisa bora hata Africa wanajificha, kuna mfalme wa Bahrain sijui , Jamaa Ana super high end cars kama buku aisee, sijui nilikua naangalia collection yake nikiwa nawaza what a waste.... maintenance tu ya hayo magari ambayo mengi hayatumiki ni kiasi gani..
Sipati picha kina musk,Zuckerberg and the likes wangekua wazee wa ku flex sijui kama mjini pangetosha
Hebu ona hii collection ya magari ya kifahari ya dikteta Assad!
Na inaripotiwa kuwa hii ni moja tu ya collection yake ya hayo magari ya kifahari.
Alikuwa anayaendesha wapi hayo magari? Muda mwingi alikuwa mafichoni.
Popote alipokuwa anaenda alikuwa alikuwa anaendeshwa.
Ni lini alikuwa anaendesha hayo magari kwenye mitaa ya Damascus?
View: https://youtu.be/pUrnEbnoOK8?si=tGc8kyc1Z7pLaq-l
Hebu ona hii collection ya magari ya kifahari ya dikteta Assad!
Na inaripotiwa kuwa hii ni moja tu ya collection yake ya hayo magari ya kifahari.
Alikuwa anayaendesha wapi hayo magari? Muda mwingi alikuwa mafichoni.
Popote alipokuwa anaenda alikuwa alikuwa anaendeshwa.
Ni lini alikuwa anaendesha hayo magari kwenye mitaa ya Damascus?
View: https://youtu.be/pUrnEbnoOK8?si=tGc8kyc1Z7pLaq-l
Oyaa kasimu kangu hakana translate acheni uoenevu nyie.Now there ain't no way that you could kill the beats dead,
Middle East women and Middle East bread,
I got Oil Well money in the desert playing Golf,
Don't ? with a Louis Scarf
Chest cold diamonds make a wanna cough,
In Dubai 20 million on a few lofts
I stay up in da club,
The way I make the people wanna sing the hook in Arabic
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Busta Rhymes alikuwa mtu mbad sana.
Siyo Bahrain ni Brunei anaitwa Sultan Hassanal Bolkiah ana magari zaidi ya 7000, huyo ndio funga kazi kwenye kufanya kufuru hao wafalme wa kiarabu wanasubiri, huku wananchi wake wengi wakiishi kwenye umasikini mkubwa
borgenproject.org
Kawaida ya madiktekta kutaka kila kitu awe nacho yeye rejea kwa magufuli kila kitu alitaka awe yeyeHahaa nimecheka kinoma nilipoona ferrari f50, hiyo gari ni zaidi ya billion 10 za kibongo huyu fala sijui alikua analiendeshea wapi
kuna mfalme wa Bahrain sijui , Jamaa Ana super high end cars kama buku aisee, sijui nilikua naangalia collection yake nikiwa nawaza what a waste.... maintenance tu ya hayo magari ambayo mengi hayatumiki ni kiasi gani..
Hebu ona hii collection ya magari ya kifahari ya dikteta Assad!
Na inaripotiwa kuwa hii ni moja tu ya collection yake ya hayo magari ya kifahari.
Alikuwa anayaendesha wapi hayo magari? Muda mwingi alikuwa mafichoni.
Popote alipokuwa anaenda alikuwa alikuwa anaendeshwa.
Ni lini alikuwa anaendesha hayo magari kwenye mitaa ya Damascus?
View: https://youtu.be/pUrnEbnoOK8?si=tGc8kyc1Z7pLaq-l