'Magari ya Makonda' yakwama kukarabatiwa, mwenyewe agoma kutoa ushirikiano

Hapo mpaka sasa hivi kuna vigogo wamesha chagua V8 zao tayari. Nchi hii ngumu sana.
 
Mleta mada muongo chama hakiwezi jieleza kwa sababu ya magari ya serikali wale waliongozana kwenda kwenye
mkutano kusikiliza kero za wananchi na kuzipa majibu

Kiongozi wa serikali kusikiliza.kero za wananchi ni moja ya majukumu yake
Kuna mifumo ya kusikiliza kero serikalini.... Sidhani kuambatana na kiongozi wa siasa ni sahihi
 
Upo
Sahihi kabisa. Mtoa mada ni CHAWA wa Chongolo
 
Mleta mada ni tapeli anayeutumia ujuzi wake wa uandishi ili kuwapotosha wenye akili ndogo!!

Anataka kutuambia siku gari la RAIS likipata ajali basi Samia ndo akatoe maelezo?

Bottom line ni kwamba mtoa mada ana chuki iliyopitiliza kwa Makonda!! Na hoja ni ndogo tu, Makonda anawabana wezi wanaomlisha huyu Mzee asiyetaka kufanya kazi.
 
Umesema Kweli, mtoa HOJA ana Chuki na kijana,

Lakini pia UKWELI usemwe, kijana Hana Uadilifu wowote.
 
Kumfananisha mwenezi wa chama na Rais ni ujinga wa hali ya juu sana
 
Mimi bado najiuliza ile ilikuwa ni ajali ya kawaida au ya Kisangoma ??!

Gari 6 zigongane kwa mpigo ?!!!
Duh 🙄 !
Madereva walikuwa wamefumba macho ?? Au gari zilikuwa na Breki hafifu ??
Naona na ile amsha amsha imeishia pale !
Ngoja Tusubiri tuone 🙏🙏
 
Hakuna wakuwahoji na hakuna wa kugoma kutengeneza magari hayo…yani wewe unafikiri kuna taasisi yenye uwezo wa kuigomea CCM?
Hakuna wa kuigomea CCM ila wanaweza kuwepo wa kumgomea aliyekuwa akiyatumia maana alikuwa akiwazingua wengi huko Chamani !!
Lakini ngoja Tusubiri tuone 🙏🙏 !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…