'Magari ya Makonda' yakwama kukarabatiwa, mwenyewe agoma kutoa ushirikiano

Hapo yanatengenezwa mazingira ya kuuziana hayo magari kwa bei ya kuyatupa utashangaa hapo makonda ameshachaguapo yake mawili.
 
Mkwamo wa matengenezo hasa unazikumba gari za serikali ambazo huhitaji ripoti kamilifu ili ziweze kutengenezwa.
 
Mkwamo wa matengenezo hasa unazikumba gari za serikali ambazo huhitaji ripoti kamilifu ili ziweze kutengenezwa.
 
Mkwamo wa matengenezo hasa unazikumba gari za serikali ambazo huhitaji ripoti kamilifu ili ziweze kutengenezwa.
 
Idara ambazo zinamiliki magari hayo ya serikali zilizopata ajali hiyo zinawataka maafisa wake na madereva wao waseme kwanini walikuwepo kwenye msafara huo wa kichama;
 
Mengi yatakaa hapo kama muda wa miaka 2 then wanajiuzia kwa milioni moja moja, maintenance zitatumika fedha za umma na mwisho watajiuzia
Idara ambazo zinamiliki magari hayo ya serikali zilizopata ajali hiyo zinawataka maafisa wake na madereva wao waseme kwanini walikuwepo kwenye msafara huo wa kichama;
 
Jamaa Muongo muongo huyu mtoa mada. Unajitia dole mwenyewe hiyo story ya kijiweni kabisa.
 
Ya ngoswe tumuachie Ngoswe.

Ya Kasiari tumpe Kaisari.

Shamba la bwana kheri na mbuzi wa bwana kheri.
 



Ni upumbavu tu mkubwa kwamba na mawazo finyu kwa anayeandika haya kwamba Makonda anapaswa kutoa report ya ajali.

Amewajibu sahihi kabisa.
 
Duuh........!
 
Hakuna taasisi yenye jeuri ya kuhoji CCM mtoa mada anajifurahisha
True, kiongozi gani atajaribu ht kunyanyua domo lake kwenye ule msafara walikuwepo mawaziri. Tuache mambo ya kuokoteza. M/kiti wa CCM ndio Rais wa nchi. Sasa nani anamhoji nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…