KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Silii kwa ajili yangu, nalia kwa ajili ya the coming young stars , and the coming generation.
Magari ya michezo ni bei kubwa sana na ushuru wake ni mkubwa, hawa chipukizi watawezaje?
Sera za kikodi ziangaliwe upya, vipaji sio Football ⚽ na riadha na ngumi peke yake, vipaji ni uwanda mpana, wote tunahitaji upendeleo, ruzuku, kipaumbele, kuthaminiwa, na kukuzwa pia
Magari ya michezo ni bei kubwa sana na ushuru wake ni mkubwa, hawa chipukizi watawezaje?
Sera za kikodi ziangaliwe upya, vipaji sio Football ⚽ na riadha na ngumi peke yake, vipaji ni uwanda mpana, wote tunahitaji upendeleo, ruzuku, kipaumbele, kuthaminiwa, na kukuzwa pia