Magari ya umeme kutoka China hatiani kupigwa marufuku Ulaya

Magari ya umeme kutoka China hatiani kupigwa marufuku Ulaya

Soko lenye hela ya bidhaa za mchina lipo kwenye nchi za mabeberu.
Kwenye nchi km za kwetu na za kiarabu, anapata hela ya madafu. Akipigwa ban kuuza bidhaa zake kichwa huwa kinamuuma sana.
China akipiga ban bidhaa za mabeberu ni uzalendo, ila za kwake zikipigwa ban ni wivu na hujuma
Mabeberu nao hivyohivyo. Soko lao kubwa liko China. Unajua Coca Cola wanaingiza mabilioni mangapi nchini China?
 
Tesla anapata upinzani mkali toka kwa BYD ya uchina. 😀 Watu wengi waki opt kuchukua gari ya kiwango hiko hiko toka China Tesla ataanguka. Ego inawatesa West!
Mambo mengine yakushangaza kidogo,mbona BYD iliiingia ubia na kampuni fulani ya Kimerikani kuunda magari ya umeme, inasemekana wanawapa wakati mgumu kampuni ya TESLA katika mauzo, BYD is cheap easy to maintain na battery una charge kwa muda mfupi sana au. unakwenda kwenye vituo vyao una- swap ambayo hiko fully charged kuliko kusubiri kucharge nakupoteza muda.
 
Baada ya makampuni ya uchina kuteka soko la magari ya umeme duniani kwa sasa.

Umoja wa ulaya kupitia kauli iliyo tolewa na Rais wa umoja huo sasa kuja na kampeni maalumu ya kudhibiti utitiri wa ndinga za EV toka China.

Bi Ursula Von de Leyen anasema
"Global markets are now flooded with cheaper Chinese electric cars.

And their price is kept artificially low by huge state subsidies.

We are launching an anti-subsidy investigation into electric vehicles coming from China."

View attachment 2748959
Umoja wa ulaya wataweza kweli kupambana na moto uliowashwa na haya makampuni ya umeme ya China yanayo pepea kwa kasi sasa ? Tusubiri tuone
Mchina naona wanashindana naye akielekea kushinda wanamtafutia sababu.
 
Acha kunya cheche wewe mchina hana technology kali yakumfikia Mzungu nenda katawaze urudi kula.
Wao ndio wanapiga kelele. Sasa wanakili na kushangaa Huawei kawezaje kutengeneza chip iliyopo kwenye mate60 baada ya zile ban zote.
Mchina ni unstoppable kwa sasa wewe unapiga kelele ila hao unaowasema washajua hilo ndio maana wanahangaika kumfunga speed governor.
 
Tanzania ni taifa la ajabu sana duniani.

Zitapigwa import duties kubwa, wao hesabu zao zitakuwa kwenye kufidia ile kodi ya kila lita ya mafuta inayoingia serikalini

Badala ya kuona hizi Electric Vehicles ni mkombozi kwa kulinda mazingira zitakuwa adui kwao
Kuna kitengo cha kisenge sana pale kinaitwa sijui utafit na sera kinaongwa na akina mwigulu
 
Sawa lakini tutakutana na kirungu kingne tena cha tanesco na TRA pale bandarini, nchi hii kupumzika Ni kaburini tu.
TANESCO unawakwepa kwa solar and battery storage, nina solar na battery mwaka wa tatu sijui bill ya umeme inafananaje
 

Huu mzingo wa China unaitwa YANGWANG U8, una uwezo wa kukatiza katika bwawa la maji kama boti bila shida ila hakikisha umeuchaji vizuri kwanza usije ukakuandikia battery low upo kwenye maji.
 
Mchina anatengeneza vitu vya bei rahisi ambavyo nchi za magharibi zinauza kwa bei kubwa. Kwao (magharibi) inakuwa tishio kwa biashara zao. Mfano mzuri ni kipindi simu za TECNO mara ya kwanza zilivyoingia sokoni na kutoa ushindani mkubwa kwa simu NOKIA hasa kwenye kipengele cha betri kutunza chaji.

Baada ya EV kuonekana ni big deal hasa kwenye issue ya utunzaji wa mazingira, basi Mchina kaamua kutengeneza za bei rahisi na kuziingiza sokoni. Ulaya lazima wawe tumbo joto maana kitumbua chao kimeingia mchanga
 
Kwahio suala sio utunzaji mazingira tena
Hata siku 1 usiwaamini wazungu. Kabla ya vita ya Urusi na Ukraine, west walikuwa na mipango kibao ya kulinda mazingira ila Urusi alivogoma kupeleka gesi kwa mataifa adui si ghafla walianza kufufua plants za makaa ya mawe! Wao kila sera inaangalia masrahi yao kwanza. Leo sera ya tena baada ya mchina kuwapiga gape kwenye gari za umeme wanataka kurudi kwenye diesel😀😀. Pumbavu kabisa wazungu
 
Time imefika ya kuachana na mafuta ya mwarabu, tunatumia pesa nyingi sana kuagiza mafuta kuliko kitu chochote, tuanze na kuruhusu na kuwapa mazingira mazuri wawekezaji wa solar na battery power waje kuwekeza Tanzania, ondoa ushuru magari ya umeme Kwa miaka 10 ijayo ili watu waache kuagiza magari ya mafuta,serikali ielimishe watu umuhimu wa kufunga solar na battery kwenye nyumba ili wananchi waamke (nimefunga solar na battery huu mwaka wa tatu sijui bill ya umeme), tuna madini ya kutengeneza battery tunaweza kutengeneza industry kubwa sana na vijana wakapata kazi nzuri sana, tuamke tuache ujinga
 
Back
Top Bottom