Magari ya umeme kutoka China hatiani kupigwa marufuku Ulaya

Magari ya umeme kutoka China hatiani kupigwa marufuku Ulaya

Tanzania ni taifa la ajabu sana duniani.

Zitapigwa import duties kubwa, wao hesabu zao zitakuwa kwenye kufidia ile kodi ya kila lita ya mafuta inayoingia serikalini

Badala ya kuona hizi Electric Vehicles ni mkombozi kwa kulinda mazingira zitakuwa adui kwao
Tanzania inahitaji gari za gesi ili gesi yake ipate soko, msiwe na akili za kushikiwa.
 
Haha hawa watu walikua wamejiundia kakikumdi ka nchi zao kalikokua kanaishi kwa gharama za mataifa mengine duniani kwa kununua raw materials kwa bei poa na kurudisha manufactured goods kwa bei inayofilisi nchi zingine.(win lose)
Sasa imetikea china ambayo imejiendeleza kitechologia na bila kuwa na tamaa ya kuwanyanya wenzake (win win) waanza kulialia na hawamini wanachikiona.
Kujaribu kuendelea kudhibiti China ni kama kuzuia mafuriko kwa mkono maana hata wao watapata consequences.
Watulie waangalie tu anguko lao hawana namna.
Wachina wanachukua tenda zote za ujenzi Africa huku makampuni ya wazawa yakidumazwa na dollars zikienda China.

Wanachota rasilimali za Africa,

Wameligeuza bara la Africa kuwa soko lao la bidhaa hafifu kuanzia vyombo vya kulia ugali, fenicha mpaka toothpicks. Africa kupata Viwanda kwa mtindo huu ni ndoto.

Kama wanatupenda sana tuwatake Wachina watoe scholarships Africa , walete uwekezaji sahihi, wajenge hospital, watoe mikopo kwa uwazi na wadai uwajibikaji kwa raia kwa watawala wa Africa wanaoshirikiana nao.
 
Tanzania ni taifa la ajabu sana duniani.

Zitapigwa import duties kubwa, wao hesabu zao zitakuwa kwenye kufidia ile kodi ya kila lita ya mafuta inayoingia serikalini

Badala ya kuona hizi Electric Vehicles ni mkombozi kwa kulinda mazingira zitakuwa adui kwao
Unaweza shangaa wakapandisha bei ya umeme na vipuri.
 
Sawa lakini tutakutana na kirungu kingne tena cha tanesco na TRA pale bandarini, nchi hii kupumzika Ni kaburini tu.
TRA Ni matracall umbwa wale
Yaani gari iliyotengenezwa karibuni inapigwa kodi Mara mbili ya bei ya mtengenezaji,halafu wanabweka kua wanahimiza watu wanunue Magari mapya ili kutunza mazingira,hii nchi sijui ina laana gani ?
 
Baada ya makampuni ya uchina kuteka soko la magari ya umeme duniani kwa sasa.

Umoja wa ulaya kupitia kauli iliyo tolewa na Rais wa umoja huo sasa kuja na kampeni maalumu ya kudhibiti utitiri wa ndinga za EV toka China.

Bi Ursula Von de Leyen anasema
"Global markets are now flooded with cheaper Chinese electric cars.

And their price is kept artificially low by huge state subsidies.

We are launching an anti-subsidy investigation into electric vehicles coming from China."

View attachment 2748959
Umoja wa ulaya wataweza kweli kupambana na moto uliowashwa na haya makampuni ya umeme ya China yanayo pepea kwa kasi sasa ? Tusubiri tuone
si walete bongo?
 
Huyumama
Baada ya makampuni ya uchina kuteka soko la magari ya umeme duniani kwa sasa.

Umoja wa ulaya kupitia kauli iliyo tolewa na Rais wa umoja huo sasa kuja na kampeni maalumu ya kudhibiti utitiri wa ndinga za EV toka China.

Bi Ursula Von de Leyen anasema
"Global markets are now flooded with cheaper Chinese electric cars.

And their price is kept artificially low by huge state subsidies.

We are launching an anti-subsidy investigation into electric vehicles coming from China."

View attachment 2748959
Umoja wa ulaya wataweza kweli kupambana na moto uliowashwa na haya makampuni ya umeme ya China yanayo pepea kwa kasi sasa ? Tusubiri tuone
Huyu mama babu yake alikuwa afisa wa ngazi za juu kwenye Serikali ya KINAZI ya Hitler karithi traits za babu yake za ukatiri na roho jaribu kufatilia kauli zake anapo zungumzia masuala ambayo haya husu western Europe - vhukulia duala hili lakipumbavu Ujerumani inauza magari chungu mzima Duniani, eana viwanda vya kuhunda magari mpaka huko Merikani, Toyota yenyewe inuza mpaka vijigari vidogo vya bei nafuu sana,mbona hilo halisemi anakwenda kusingizia Serikali ya China eti inavipatia subsidy viwanfa vyao kuunda magar ya umeme cheaply - wao wanashindwa nini si technolojia tu, hakuna cha uchawi hapo and Chinese prople are very Harding people and very innovative, huyo mama na genge lake wanataka kuwawekea Uchina kauzibe basi, hawatali ishindane na TESLA.t
 
Tatizo lilianza Mchina kupiga marufuku Iphone kwa matumizi ya ofisi za umma.
Ukimgusa Us umewagusa wazungu wote
Tatizo China akisema afuate mabeberu atayumba, nakumbuka mwaka 2013 kuna watu niliwaambia ndani ya miaka 10 china itakuwa ya kwanza kwenye ku import na ku export.
Leo tunaona haya Germany iko wapi kwa exportation?
Japan iko wapi kwa exportation ya magari, na japan wako sambamba na mabeberu.
 
Huyumama

Huyu mama babu yake alikuwa afisa wa ngazi za juu kwenye Serikali ya KINAZI ya Hitler karithi traits za babu yake za ukatiri na roho jaribu kufatilia kauli zake anapo zungumzia masuala ambayo haya husu western Europe - vhukulia duala hili lakipumbavu Ujerumani inauza magari chungu mzima Duniani, eana viwanda vya kuhunda magari mpaka huko Merikani, Toyota yenyewe inuza mpaka vijigari vidogo vya bei nafuu sana,mbona hilo halisemi anakwenda kusingizia Serikali ya China eti inavipatia subsidy viwanfa vyao kuunda magar ya umeme cheaply - wao wanashindwa nini si technolojia tu, hakuna cha uchawi hapo and Chinese prople are very Harding people and very innovative, huyo mama na genge lake wanataka kuwawekea Uchina kauzibe basi, hawatali ishindane na TESLA.t
Tesla anapata upinzani mkali toka kwa BYD ya uchina. 😀 Watu wengi waki opt kuchukua gari ya kiwango hiko hiko toka China Tesla ataanguka. Ego inawatesa West!
 
Back
Top Bottom