bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
China ana cheap labour ya kutosha thus bidhaa zake anauza Bei chini kwa ubora ule ule kuteka soko duniani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na watu wamekaa kimya yani wenye mamlaka hutakaa kusikia wanaliongelea hilo hata kwa bahati mbaya😀!!!NASHANGAA BANDARI YETU INACHAJI KODI BEI KUBWA KULIKO THAMANI ULIYONUNULIA GARI KUTOKA JAPAN WAKATI HAIKUCHANGIA TAIRI WALA SIDE MIRROR LAKINI BADO BEI INAZIDI YA MTENGENEZAJI, HII NCHI SIJUI IMELAANIWA?
Wakihamisha goli nawe unahamisha mechi unaenda kucheza kwenye kiwanja kingine.Hay
Hawa eu SI ndio champion WA free makets ila wakiona wanazidiwa kete wanahamisha goli.
Hapa umedanganya watu. Nina simu ya Tecno W3 ya mchina.bidhaa zake anauza Bei chini kwa ubora ule ule kuteka soko duniani
Nadhani umeshapata jibu,hata Panadol ,sukari,nk ya bongo inayokwenda ulaya ni tofauti na za kuuzwa bongo.Hapa umedanganya watu. Nina simu ya Tecno W3 ya mchina.
Ukiwa kwenye meseji ukaandika neno Facebook au WhatsApp meseji haiendi. Nimejaribu simu 2 za Tecno W3 ila bila bila.
Mchina anauza bidhaa kulingana na hela yako, bidhaa anazopeleka ulaya ni tofauti zinauzwa Afrika. Kuna bidhaa za kichina ukiziona unajua kabisa kuna rushwa ilifanya ili bidhaa ziuzwe hapa Tanzania.
Mkuu kwanza hawawezi kutengeneza za bei ndogo sana kwa sababu za usalama wa gari lenyeweWatengeneze magari ya umeme ili hivi viberiti kama Paso viuzwe laki tano
Mkuu vijana wapatiwe nguvu ili watengeneze ya kwetu kama yule aliebadili guta la mafuta na kuweka solar TzSawa lakini tutakutana na kirungu kingne tena cha tanesco na TRA pale bandarini, nchi hii kupumzika Ni kaburini tu.
Ili wa discourage watu wasinunue, hofu yao ni kupoteza fedha za tozo wanazopiga kwenye mafuta. Hii nchi hatuoneani huruma hata kidogoShida wale mabwege pale TPA na TRA wanazichaji kodi hizo gari za umeme. Nimeshangaa mno wakati wenzetu wanazichukulia kama faida kwa mazingira zina msamaha wa kodi.
Kwani nani alianza si US mwenyewe ndo alianza kupiga ban HuaweiTatizo lilianza Mchina kupiga marufuku Iphone kwa matumizi ya ofisi za umma.
Ukimgusa Us umewagusa wazungu wote
Watu tupo kuumizana tu😀Ili wa discourage watu wasinunue, hofu yao ni kupoteza fedha za tozo wanazopiga kwenye mafuta. Hii nchi hatuoneani huruma hata kidogo
Mkuu hawa watu wana vita vya kiuchumi kitambo sasa.Kwani nani alianza si US mwenyewe ndo alianza kupiga ban Huawei
Aisee umenena vyema sanaaaaMchina amesaidia sana hii dunia maana hata TV tunanunua kwa bei ya maharage, hawa mabeberu ni mafisi tuu na wachoyo vibaya sana, kabla ya mchina dunia ilikuwa maskini sana lakini sasa hata Burundi wana Highway kama Ulaya
Mbona wao US walipiga ban simu za Huawei na 5G equipments za kampuni ya Huawei?Tatizo lilianza Mchina kupiga marufuku Iphone kwa matumizi ya ofisi za umma.
Ukimgusa Us umewagusa wazungu wote
Yanatumia umeme huu huu wa mgao?Wayalete huku Afrika tuondokane na huu unyonyaji wa wauza mafuta.
Kweli kabisaHivi kuna mtu ameshtuka Wachina wananunua leseni karibia zote za Madini Bongo, hawa watu hawaa
Umeme wenyewe upo wa kueleweka apa na gharama za umeme zitakuwaje?Wayalete huku Afrika tuondokane na huu unyonyaji wa wauza mafuta.
Mkuu sisi hatuna haraka wala hatusumbui bongo zetu kwa issue za technologies, sisi kikubwa ni kupata Kazi/ ajira na kupambana kujenga nyumba kali😄😄😄😄Wajerumani wanalia tu wao kila kitu wanadhani watashinda
Hata zamani wao walikuwa wa kwanza kutengeneza solar panels ila mchina alipoiba idea tu alifyatua kama kichaa na bei bwerereeee.
Jamaa wakakasirika wakasema tunataka China apandishe bei China akakataa wakatishia ulaya kuachana nae kibiashara na yeye akasema sinunui Wine za ulaya tena. Ukiangalia Wine wachina wanaagiza nyingi sana toka ulaya ikabidi ulaya waache mzozo
Sasa hili la kuwaogopa hapo 🇬🇧 tayari wana order kibao ya magari hayo na mpaka batteries zinaingia nyingi tu
Mpaka kufikia mwaka 2030 Uingereza watakuwa wameachana na magari ya diesel na petrol kwa pamoja
Hebu na sisi tuache kuwa Nzi tubadilike tuwe Nyuki
Tutafute wawekezaji hapo hapo tz wajenge kiwanda cha kutengeneza Batteries, mbona zamani vilikuwepo? Huyo mganga aliewaroga kamtafuteni sio akili zenu hizo
Dunia inaenda kwa kasi sana na nyie msiwe nyuma na kusubiri kutupiwa magari ya diesel kama nguo za mitumba
Hamuoni hiyo ni wake-up call?