Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Mchina ana akili sana na ana roho nzuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wamesha muelewa mchina. Hata umchafue vipi akitia bidhaa sokoni inagombaniwaMkuu hawa watu wana vita vya kiuchumi kitambo sasa.
China bado mchanga kwenye hizi fitinaangejifanya mjinga wayajenge.
Ona sasa amechafuliwa kuhusu ndege vita na silaha kuwa ni mbovu na sasa magari
Inagombaniwa na wajinga wa Afrika tu wapenda kitongaWatu wamesha muelewa mchina. Hata umchafue vipi akitia bidhaa sokoni inagombaniwa
Na hayo magari walioongoza kuuza ni brand za mataifa mengine sio ya kwao, wanatengeneza under license.Tangu March mwaka huu China ndilo taifa linaongoza kwa kuuza magari duniani (exporting)
Japan kashapigwa gap kubwa sana. Maana ndiye alikuwa top kwa miaka mingi
Wivu umewashika. This is double standard
Mkuu zingekuwa brands za kwao unafikiri wangeleta figisuNa hayo magari walioongoza kuuza ni brand za mataifa mengine sio ya kwao, wanatengeneza under license.
Wanamfanyia figisu lakini hawajaweza kumuangushaMkuu hawa watu wana vita vya kiuchumi kitambo sasa.
China bado mchanga kwenye hizi fitinaangejifanya mjinga wayajenge.
Ona sasa amechafuliwa kuhusu ndege vita na silaha kuwa ni mbovu na sasa magari
Mind the gap
Bila shaka hata kijiko unachotumia kwa shemeji kimetoka chainaInagombaniwa na wajinga wa Afrika tu wapenda kitonga
Hahaha acha ufala ujueBila shaka hata kijiko unachotumia kwa shemeji kimetoka chaina
kila chenye mwanzo akikosi kuwa na mwishoNaona makampuni ya magari kutoka Japan na Germany yana pumulia machine upande wa EV
Wayalete huku Afrika tuondokane na huu unyonyaji wa wauza mafuta.
Napendekeza wayalete Afrika🤣🤣🤣🤣Aiseee sasa itakuaje
Mnao umeme??Wayalete huku Afrika tuondokane na huu unyonyaji wa wauza mafuta.
Hata Wachina ni mabeberuMchina amesaidia sana hii dunia maana hata TV tunanunua kwa bei ya maharage, hawa mabeberu ni mafisi tuu na wachoyo vibaya sana, kabla ya mchina dunia ilikuwa maskini sana lakini sasa hata Burundi wana Highway kama Ulaya
Umeme mnao??Hii fursa kwetu Afrika.
Hamna wafanyakazi wenye utaalamu na sera zinazotabirika katika uwekezaji na biashara.Ni kumpa nafasi mchina afanye yake tu. Tumpe pori moja Bagamoyo afungue kiwanda cha battery maana madini ya malighafi tunayo
Umeme mnao?Watengeneze magari ya umeme ili hivi viberiti kama Paso viuzwe laki tano
SGR ya umeme inaanza kufanya kazi lini?Hakika mkuu alete mzigo Africa tuachane na mkojo wa Mwarabu maana kila siku price haieleweki
Atapiga hela sana