Magari ya viongozi wa Serikali na afya za wananchi wa Tanzania kipi muhimu?

Magari ya viongozi wa Serikali na afya za wananchi wa Tanzania kipi muhimu?

MASIKINI ATABAKI KUWA MASIKINI na tajiri atatajirika zaidi aliimba msanii Jaguar toka Kenya. Msemo huu unaonekana kukita mzizi nchini Tanzania.

Tanzania inatumia bilioni 558 kwa mwaka kununua magari ya viongozi! Hatujapigia mahesabu gharama za vipuri,matengenezo na mafuta ya bure wanayopewa viongozi!

Wakati unatafakari hilo unashangaa kusikia, mfuko wa Taifa wa bima ya afya NHIF hauwezi kulipia pesa za matibabu Shilingi za kitanzania Bilioni 40?
Je magari ya viongozi ni muhimu kuliko afya za watanzania?

Viongozi wanaopewa magari wana mishahara mizuri ya kuweza kumudu bima ya afya kwa mwaka mfano, mshahara wa mbunge kwa mwezi ni zaidi ya Shilingi Milioni 14 ,lakini wanapewa bima ya bure, matibabu bure mafuta na magari bure ilhali mwalimu wa mwezi mzima anaambulia 500,000 ikiwa na makato !

Makada mtasema ni uchochezi na maneno mengi lakini hali hii inakera hivi mtu kama Abood anahitaji kupewa bima ya bure? Au Mwigulu au Makamba? Ummy Je hawezi kumudu bima ya afya au?

Inakuwaje basi unamlipia Shabiby bima ya bure halafu mwananchi wa kawe unamwambia achangie? Hivi viongozi wa Taifa hili mnashindwa kuweka maisha ya watanzania mbele??

Kila mwezi mnakusanya Bilioni 80 kwenye tozo za miamala kwa mwaka ni Sh 960 Bilioni pesa hii hamuwezi kuipunguza kwa NHIF ishughulikie matibabu ya watoto wa wapiga kura wenu?

Kama NHIF haiwezi kuja na strategy ya kuleta bima ya afya kwa wananchi basi muibinafshishe kwa DP WORLD

NB:Unavyokuja kucomment usihusishe vyama vyenu hapa. Sijataja chama cha mtu hapa
Nhif imeanzisha mpango wa kulipa kwa awamu (DUNDULIZA) ambapo mwanachama anaweza kulipa kidogo, kidogo kuanzia TZS 526 kwa siku. Haya ni mapinduzi makubwa na kujali wananchi wake


Vilevile, tunashukuru kwa fursa hii katika jukwaa hili kwani watu wengi zaidi wanaelimika na kujua huduma za Mfuko. Tunapokea kupokea maoni kufanya maboresho kwa huduma endelevu. Karibuni sana
 
MASIKINI ATABAKI KUWA MASIKINI na tajiri atatajirika zaidi aliimba msanii Jaguar toka Kenya. Msemo huu unaonekana kukita mzizi nchini Tanzania.

Tanzania inatumia bilioni 558 kwa mwaka kununua magari ya viongozi! Hatujapigia mahesabu gharama za vipuri,matengenezo na mafuta ya bure wanayopewa viongozi!

Wakati unatafakari hilo unashangaa kusikia, mfuko wa Taifa wa bima ya afya NHIF hauwezi kulipia pesa za matibabu Shilingi za kitanzania Bilioni 40?
Je magari ya viongozi ni muhimu kuliko afya za watanzania?

Viongozi wanaopewa magari wana mishahara mizuri ya kuweza kumudu bima ya afya kwa mwaka mfano, mshahara wa mbunge kwa mwezi ni zaidi ya Shilingi Milioni 14 ,lakini wanapewa bima ya bure, matibabu bure mafuta na magari bure ilhali mwalimu wa mwezi mzima anaambulia 500,000 ikiwa na makato !

Makada mtasema ni uchochezi na maneno mengi lakini hali hii inakera hivi mtu kama Abood anahitaji kupewa bima ya bure? Au Mwigulu au Makamba? Ummy Je hawezi kumudu bima ya afya au?

Inakuwaje basi unamlipia Shabiby bima ya bure halafu mwananchi wa kawe unamwambia achangie? Hivi viongozi wa Taifa hili mnashindwa kuweka maisha ya watanzania mbele??

Kila mwezi mnakusanya Bilioni 80 kwenye tozo za miamala kwa mwaka ni Sh 960 Bilioni pesa hii hamuwezi kuipunguza kwa NHIF ishughulikie matibabu ya watoto wa wapiga kura wenu?

Kama NHIF haiwezi kuja na strategy ya kuleta bima ya afya kwa wananchi basi muibinafshishe kwa DP WORLD

NB:Unavyokuja kucomment usihusishe vyama vyenu hapa. Sijataja chama cha mtu hapa
Tukipunguza wivu na Chuki suala la magari halihusiani kabisa sababu hivi ni chombo cha usafiri tu na ni sawa na kusema mtu aache kula sababu hana nguo za kubadilisha.

Hoja hii jamani imeshaelezewa na nhif na kutolewa ufafanuzi nikusema tu kama tumejizima data watoto milioni 30 wamejiunga laki 2 unadhani Mfuko utaweza kujiendesha.
 
MASIKINI ATABAKI KUWA MASIKINI na tajiri atatajirika zaidi aliimba msanii Jaguar toka Kenya. Msemo huu unaonekana kukita mzizi nchini Tanzania.

Tanzania inatumia bilioni 558 kwa mwaka kununua magari ya viongozi! Hatujapigia mahesabu gharama za vipuri,matengenezo na mafuta ya bure wanayopewa viongozi!

Wakati unatafakari hilo unashangaa kusikia, mfuko wa Taifa wa bima ya afya NHIF hauwezi kulipia pesa za matibabu Shilingi za kitanzania Bilioni 40?
Je magari ya viongozi ni muhimu kuliko afya za watanzania?

Viongozi wanaopewa magari wana mishahara mizuri ya kuweza kumudu bima ya afya kwa mwaka mfano, mshahara wa mbunge kwa mwezi ni zaidi ya Shilingi Milioni 14 ,lakini wanapewa bima ya bure, matibabu bure mafuta na magari bure ilhali mwalimu wa mwezi mzima anaambulia 500,000 ikiwa na makato !

Makada mtasema ni uchochezi na maneno mengi lakini hali hii inakera hivi mtu kama Abood anahitaji kupewa bima ya bure? Au Mwigulu au Makamba? Ummy Je hawezi kumudu bima ya afya au?

Inakuwaje basi unamlipia Shabiby bima ya bure halafu mwananchi wa kawe unamwambia achangie? Hivi viongozi wa Taifa hili mnashindwa kuweka maisha ya watanzania mbele??

Kila mwezi mnakusanya Bilioni 80 kwenye tozo za miamala kwa mwaka ni Sh 960 Bilioni pesa hii hamuwezi kuipunguza kwa NHIF ishughulikie matibabu ya watoto wa wapiga kura wenu?

Kama NHIF haiwezi kuja na strategy ya kuleta bima ya afya kwa wananchi basi muibinafshishe kwa DP WORLD

NB:Unavyokuja kucomment usihusishe vyama vyenu hapa. Sijataja chama cha mtu hapa
Tuwekeze nguvu sana kuhimiza wazazi wawaunganishe watoto wengi zaidi kwenye Mfuko kupitia mashuleni kwa wingi wao. Hii itawawezesha nhif kutoa huduma bila kikwazo
 
Tuwekeze nguvu sana kuhimiza wazazi wawaunganishe watoto wengi zaidi kwenye Mfuko kupitia mashuleni kwa wingi wao. Hii itawawezesha nhif kutoa huduma bila kikwazo
Unajua watanzania wangapi wanaishi chini ya dola moja? Nani atalipia bima zao NHIF?
 
MASIKINI ATABAKI KUWA MASIKINI na tajiri atatajirika zaidi aliimba msanii Jaguar toka Kenya. Msemo huu unaonekana kukita mzizi nchini Tanzania.

Tanzania inatumia bilioni 558 kwa mwaka kununua magari ya viongozi! Hatujapigia mahesabu gharama za vipuri,matengenezo na mafuta ya bure wanayopewa viongozi!

Wakati unatafakari hilo unashangaa kusikia, mfuko wa Taifa wa bima ya afya NHIF hauwezi kulipia pesa za matibabu Shilingi za kitanzania Bilioni 40?
Je magari ya viongozi ni muhimu kuliko afya za watanzania?

Viongozi wanaopewa magari wana mishahara mizuri ya kuweza kumudu bima ya afya kwa mwaka mfano, mshahara wa mbunge kwa mwezi ni zaidi ya Shilingi Milioni 14 ,lakini wanapewa bima ya bure, matibabu bure mafuta na magari bure ilhali mwalimu wa mwezi mzima anaambulia 500,000 ikiwa na makato !

Makada mtasema ni uchochezi na maneno mengi lakini hali hii inakera hivi mtu kama Abood anahitaji kupewa bima ya bure? Au Mwigulu au Makamba? Ummy Je hawezi kumudu bima ya afya au?

Inakuwaje basi unamlipia Shabiby bima ya bure halafu mwananchi wa kawe unamwambia achangie? Hivi viongozi wa Taifa hili mnashindwa kuweka maisha ya watanzania mbele??

Kila mwezi mnakusanya Bilioni 80 kwenye tozo za miamala kwa mwaka ni Sh 960 Bilioni pesa hii hamuwezi kuipunguza kwa NHIF ishughulikie matibabu ya watoto wa wapiga kura wenu?

Kama NHIF haiwezi kuja na strategy ya kuleta bima ya afya kwa wananchi basi muibinafshishe kwa DP WORLD

NB:Unavyokuja kucomment usihusishe vyama vyenu hapa. Sijataja chama cha mtu hapa
Tuache NHIF wafanye kazi yao, Tupunguze Porojo huku mitandaoni bila kuwa na Data sahihi, Huu mfuko ni msaada mkubwa sana kwa jamii twende mbele turudi Nyuma wanaouguza nadhani wanafahamu hili vizuri.
 
Tuache NHIF wafanye kazi yao, Tupunguze Porojo huku mitandaoni bila kuwa na Data sahihi, Huu mfuko ni msaada mkubwa sana kwa jamii twende mbele turudi Nyuma wanaouguza nadhani wanafahamu hili vizuri.
Umesoma lakini, au uko hapo Slipway unabwabwaja?
 
MASIKINI ATABAKI KUWA MASIKINI na tajiri atatajirika zaidi aliimba msanii Jaguar toka Kenya. Msemo huu unaonekana kukita mzizi nchini Tanzania.

Tanzania inatumia bilioni 558 kwa mwaka kununua magari ya viongozi! Hatujapigia mahesabu gharama za vipuri,matengenezo na mafuta ya bure wanayopewa viongozi!

Wakati unatafakari hilo unashangaa kusikia, mfuko wa Taifa wa bima ya afya NHIF hauwezi kulipia pesa za matibabu Shilingi za kitanzania Bilioni 40?
Je magari ya viongozi ni muhimu kuliko afya za watanzania?

Viongozi wanaopewa magari wana mishahara mizuri ya kuweza kumudu bima ya afya kwa mwaka mfano, mshahara wa mbunge kwa mwezi ni zaidi ya Shilingi Milioni 14 ,lakini wanapewa bima ya bure, matibabu bure mafuta na magari bure ilhali mwalimu wa mwezi mzima anaambulia 500,000 ikiwa na makato !

Makada mtasema ni uchochezi na maneno mengi lakini hali hii inakera hivi mtu kama Abood anahitaji kupewa bima ya bure? Au Mwigulu au Makamba? Ummy Je hawezi kumudu bima ya afya au?

Inakuwaje basi unamlipia Shabiby bima ya bure halafu mwananchi wa kawe unamwambia achangie? Hivi viongozi wa Taifa hili mnashindwa kuweka maisha ya watanzania mbele??

Kila mwezi mnakusanya Bilioni 80 kwenye tozo za miamala kwa mwaka ni Sh 960 Bilioni pesa hii hamuwezi kuipunguza kwa NHIF ishughulikie matibabu ya watoto wa wapiga kura wenu?

Kama NHIF haiwezi kuja na strategy ya kuleta bima ya afya kwa wananchi basi muibinafshishe kwa DP WORLD

NB:Unavyokuja kucomment usihusishe vyama vyenu hapa. Sijataja chama cha mtu hapa
Malipo ya wabunge ni indirect corruption. Lengo lilikua kuwalainisha wahusika wapitishe ajenda za watawala uko bungeni.
 
Nendeni siasani mkagombee
Easy....., Siasa kuna fursa😂
 
Back
Top Bottom