Magazeti ya HabariLeo na UHURU mna uhakika kuwa Jana Rais Samia amepandisha Mishahara kama mlivyoandika leo katika Vichwa vyenu vya Habari?

Elezea sasa kapandisha nini ili tuone tofauti zao ukiacha jinsia.
Uhuru wa watu kutoa maoni yao na kukosoa bila kupigwa risasi. Mishahara kasema atapandisha. Amini yule mungu wako kafa na haturudi tena, pia muda wako wa kuomboleza utumie kutafuta pesa na siyo kulia au kutunza legacy uchwara
 
Uhuru wa watu kutoa maoni yao na kukosoa bila kupigwa risasi. Mishahara kasema atapandisha. Amini yule mungu wako kafa na haturudi tena, pia muda wako wa kuomboleza utumie kutafuta pesa na siyo kulia au kutunza legacy uchwara

Huna akili, unakenua kutawaliwa na mwanamke…. sokapohapa.!
 
Mishahara itabaki Kua theoretically not practically
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…