Iwensanto
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 1,228
- 1,157
Tuna vijana wa hovyo kabisa ni Ulaya tuwasamehe tuUraya ndio wapi huko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuna vijana wa hovyo kabisa ni Ulaya tuwasamehe tuUraya ndio wapi huko?
Kukubali kukosolewa ni uungwana swala siyo kuelewa unatakiwa utambue ulichokesea ili mara nyingine usikosee tenaIla umemuelewa?
Ilishatoka hii habari hivi karibuni.Kuna Habari kuwa wakuu wa vyombo vya ulinzi wamekuwa wa kilipwa mamiliioni ya dollars na makapuni makubwa ya uchimbaji wa madini. Ili vyombo hivyo vifanye kazi ya kuhakikisha makapuni hayo hayasumbuliwi na yoyote.
Sasa najiuliza unaweza je kusema Tanzania Kuna vyombo vya Habari wakati habari kama hiyo inandikwa uraya, wakati magazeti ya Tanzania yamejaza kurasa zake za mbele Habari za teuzi?