Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Imejiunga March 19, 2021Kwanini iwe ni zamu ya Zanzibar?!!
Kwani Zanzibar imejiunga na Tanganyika 2015?!!!
#Siempre JMT🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imejiunga March 19, 2021Kwanini iwe ni zamu ya Zanzibar?!!
Kwani Zanzibar imejiunga na Tanganyika 2015?!!!
#Siempre JMT🙏
Asante kijana Nentanyahu mwenye akili nyingi sana.Inavyoonekana wewe ni mzee lakini huna akili
Tulia hivyo hivyoAsante kijana Nentanyahu mwenye akili nyingi sana.
Kwani mambo ya miradi hayako baadhi ya awamu? wazee wa ligasi mna hekaheka sanaHayo yapo kila awamu mkuu Retired
Mkapa - Kombe
JK - Ulimboka/Kubenea
Nyerere - Wahaini waliofungwa maisha.
Huwa hayaondoi mema yanayokuwa yakifanyika yenye lengo la kuyagusa maisha ya wengi.
Unadhani mama yake Azory, Ben unaweza kutenda tendo gani wakakusamehe?Utakatifu ni siri ya Mungu Mkuu Retired. Mtume Paulo alikuwa katili sana akiua wakristo kama ingekuwa leo ungemlinganisha na hawa viongozi wanaonyoshewa vidole.
Lakini ni mtakatifu na amehubiri sana injili ndani ya Biblia. Utakatifu haupimwi kwa akili zetu za kibinadamu zenye mipaka ya maoni.
Utakatifu unaweza kusababishwa na tendo moja tu zito sana likafuta madhambi yote ya miaka ya nyuma.
Maskhara yapi hayo?!!!kulifanyia mjadala jambo dogo kama nyumba za kupanga kwa watu 700 kwenye nchi yenye watu milioni 60 ni akili ndogo ndogo sana, muachie Kiturilo
Jana nimemsikia Lisu akisema almost MKIRU waliuawa watu over 400Kwani mambo ya miradi hayako baadhi ya awamu? wazee wa ligasi mna hekaheka sana
Kila siku unanibatiza majina mapya tu 🤣🤣Wewe Handsome boy CBE emojis za aina hii muachie mama D
Lissu kila siku anasema mapya...Jana nimemsikia Lisu akisema almost MKIRU waliuawa watu over 400
Nakuelewa Sana Sana Sana tuNilikuwa nafuatilia runingani namna Rais Samia anavyowakabidhi majengo wale wananchi walioahidiwa kujengewa na hayati JPM. Alipoanza kuongea yule Bibi aliyekuwa ameongozana na Babu kama ndio wawakilishi wa wakazi 644 akawa mzalendo katika kutoa shukrani zake...
Hongera "poorfesa"Imejiunga March 19, 2021
Kutwa yupo kule
Sawa dada anguHongera "poorfesa"
Mbona husemi uwanja wa ndege ambao sahivi wanatua mwewe badala ya ndege?Nikiweka ushabiki pembeni, SSH ni jembe kweli kweli kamanda wangu....though magufuli nae nilimkubali kwa kiasi flani....sisi wa kanda ya ziwa tunamshukuru kwa machache aliyotuachia kama vile barabara za lami, taa, traffic lights, daraja la busisi na mengineyo baadhi.
For me, mama huyu bado naimani nae....
Asante "sel er keny"Sawa dada angu
Mengi tu alikuwa anaanzisha Kikwete lakini yanamshinda nguvu, alikosa uwezo wa kufuatilia suala mpaka akauona mwisho wake.kwa taarifa yako scope ya hizo nyumba za magomeni haikuanzia kwa utawala wa magufuli, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni kikwete
Laana kwanza inaanza upande wako wewe uliyeitamka.CCM = Chama Cha MAGAIDI
Mlaaniwe MaCCM wote.
HIYOP NI KAZI YA GAIDI LENU mboweSandarusi za maiti coco beach nazo ni kumbukumbu. Azory? Ben?