Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
- Thread starter
- #61
Ukatili ni kauli ya jumla sana, lakini ushahidi wa upendo na utu ni ule pale Magomeni.Jitu katili la roho za watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukatili ni kauli ya jumla sana, lakini ushahidi wa upendo na utu ni ule pale Magomeni.Jitu katili la roho za watu
Jitu katili la mke. Ona mke alivyonenepa baada ya shetani kuliulia kwa mbali akabaki peke yake!Ukatili ni kauli ya jumla sana, lakini ushahidi wa upendo na utu ni ule pale Magomeni.
Chuki binafsi usipoangalia utakwenda nazo kaburini Mkuu Retired.Jitu katili la mke. Ona mke alivyonenepa baada ya shetani kuliulia kwa mbali akabaki peke yake!
Ndiyo walivyo wengi waoMhaya wa hovyo kabisa.
Mnakimbilia masuala ya kikabila mnaachana na hoja iliyopo jukwaani.Ndiyo walivyo wengi wao
Kwani uongo?Mnakimbilia masuala ya kikabila mnaachana na hoja iliyopo jukwaani.
Azory na Ben wamefanyaje?Sandarusi za maiti coco beach nazo ni kumbukumbu. Azory? Ben?
Retired ni mtu mzima wala sio mtoto mdogo.Azory na Ben wamefanyaje?
Na wanahusikaje na Magomeni flats
Tafadhali rudi kwenye mada mkuu Netanyahu, mimi ni mshubi wa Ngara sio Mhaya.Kwani uongo?
Know the base of the story, kumbukumbu nyingine Ni watu aliowaua Jiwe. It is not maghorofa only to remember! Chawa watakumbuka maghorofa, watetezi wa haki za binadamu watawakumbuka watu/maiti waliokufa kwenye mikono yakeAzory na Ben wamefanyaje?
Na wanahusikaje na Magomeni flats
Unajua ni watu wangapi wameuwawa kisiasa tangu tupate uhuru mwaka 1961?. JPM alikuwa ni rais wa awamu ya tano, zipo nne zilimtangulia.Know the base of the story, kumbukumbu nyingine Ni watu aliowaua Jiwe. It is not maghorofa only to remember! Chawa watakumbuka maghorofa, watetezi wa haki za binadamu watawakumbuka watu/maiti waliokufa kwenye mikono yake
Mke wake hajanenepa? Chuki iko wapi, Azory yuko wapi?Chuki binafsi usipoangalia utakwenda nazo kaburini Mkuu Retired.
Kunenepa kwa mke wake ni hoja ya kitoto sana, siitegemei kutoka kwa mtu wa umri wako.Mke wake hajanenepa? Chuki iko wapi, Azory yuko wapi?
Nilikuwa nafuatilia runingani namna Rais Samia anavyowakabidhi majengo wale wananchi walioahidiwa kujengewa na hayati JPM. Alipoanza kuongea yule Bibi aliyekuwa ameongozana na Babu kama ndio wawakilishi wa wakazi 644 akawa mzalendo katika kutoa shukrani zake.
Kasimama mbele ya Rais SSH lakini akaanza kwanza kumshukuru JPM kwa maamuzi ya kizalendo ya kuamua kutumia kodi za wananchi kwa faida yao wenyewe ya kuwajengea majengo yatakayowasitiri wao na familia zao na yatakayokuwa ni sehemu ya mapambo ya kisasa ya jiji la Dar.
Kwamba Mungu amemchukua, ni maamuzi ya Mungu mwenyewe hakuna mwenye jeuri ya kuyapinga siku yake ikifika. Lakini kushukuru aliyekuwa na ujasiri wa kuyafanya ni deni ambalo bibi ameweza kulilipa vyema mbele ya Rais wa sasa.
JPM angeweza kutumia pesa iliyotumika katika kuhudumia anasa za tabaka la wenye vyeo, akaona hapana, ni lazima awajengee wakazi wa Magomeni makazi ya maana yatakayodumu kwa miaka mingi ijayo.
Angeweza kabisa kutumia pesa zilizotumika pale Magomeni katika kulipia safari za anasa za kwenda Dubai na kurudi kila mwisho wa wiki, angeweza kabisa kuzitumia zile pesa katika kuendeleza matanuzi yasiyodumu ya kibinadamu yanayofanywa kila siku na viongozi wengi wa kiafrika wa mataifa ya bara hili na hakuna mtu ambaye angeweza kumfanya lolote.
Kivitendo ilikuwa ni vigumu sana kwake kumtimizia kila aliyekuwa akimlilia njiani ili aweze kumtatulia shida zake mbalimbali, asingeweza kuwa na uwezo wa kufanya yote ya wasaidizi wake kwa wakati wote akiwa pale ikulu. Lakini hili la nyumba za kisasa kwa kaya 644 ni kielelezo au ni ishara ya utayari wake wa kuwasaidia wote wenye shida mbalimbali aliokuwa akikutana nao kila mara safarini.
Jukumu la kijasiri la kuyajenga makazi lilifanywa na JPM lakini jukumu la kuyatunza makazi hayo yasigeuke kuwa ni uchafu ulio karibu kabisa na katikati ya jiji, ni la wakazi wenyewe wa Magomeni wakiongozwa na yule Bibi aliyemshukuru hayati JPM mbele ya SSH.
Kimwili JPM alitutoka mwaka mmoja uliopita na siku chache. Lakini kila tutakapokuwa tukikatiza tukiwa ndani ya vyombo vya usafiri maeneo yale ya Magomeni tutakuwa tukimkumbuka hayati. Ataendelea kuishi kupitia ujasiri wa maamuzi ya kujenga makazi ambaye kila mtazamaji atakuwa akimkumbuka.
Alichokifanya JPM ni sawa na kile alichokifanya Hayati Karume kule Michenzani Unguja. Kwamba alikwisha kuondoka duniani tangu april 1972 lakini ushahidi wa upendo aliokuwa nao bado upo hai mpaka leo hii.
JPM alikuwa ni populist leader, na alitamka wazi bungeni siku ya kwanza kabisa alipohutubia. Kwamba anajivunia wingi wa wapiga kura waliompigia kura na atakuwa nao bega kwa bega. Ni maamuzi magumu sana kujenga majengo ya kisasa, kwani ni kama amekubali kuziba riziki nyingi za wasomi wenye kumsaidia kazi mbalimbali.
Ni kama alijua kuwa hana muda mrefu juu ya uso wa dunia, hivyo akaamua kuacha amejenga makazi kwa wakazi wa Magomeni. Ni maamuzi ya kizalendo ambayo siku zote hayawezi kukosa wa kuyapinga.
Ulale pema peponi JPM.
Kwani mabarabara, madaraja, nyumba,n.k hayakuwepo enzi za Mkapa,JK,Mwinyi,na Nyerere?
Sikiliza MKIRU
Waliompiga risasi ndio hao unaowasifia hapa eti maghorofaMaghorofa ya Magomeni na Tundu Lissu wapi na wapi?.
Sio hadithi that is what has transpired so far with physical evidence nyumba za TBA si hizo zimezinduliwa leo na gharama ya mradi tumepewa.Unapoongea hivi unakuwa huna tofauti na wale jamaa wanaoitwa kwa kingereza motivational speakers.
Wanapangilia hoja mpaka kilimo cha bagamoyo kinaonekana kina manufaa sana, sasa ingia ulime uone muziki wake.
Alipigwa risasi bosi wa zamani wa usalama wa Taifa na kuuwawa tena akiwa amenyoosha mikono juu, sembuse huyo mheshimiwa mbunge!.Waliompiga risasi ndio hao unaowasifia hapa eti maghorofa