Maghorofa Magomeni kumbukumbu inayoishi ya John Pombe Magufuli

Unadhani mama yake Azory, Ben unaweza kutenda tendo gani wakakusamehe?

Msirahisishe mambo hivyo wajamemi.

Uhai unauma
 
kulifanyia mjadala jambo dogo kama nyumba za kupanga kwa watu 700 kwenye nchi yenye watu milioni 60 ni akili ndogo ndogo sana, muachie Kiturilo
Maskhara yapi hayo?!!!

Kwako ni masihara kwa serikali kufanya maendeleo kwa hatua?!!!

Yaani maghorofa yakijengwa Dar na muda huohuo ujenzi kama huo uwe unaendelea wilayani Mkinga Tanga?!!!
 
Wewe Handsome boy CBE emojis za aina hii muachie mama D
Kila siku unanibatiza majina mapya tu 🤣🤣

Mimi ni Jumbe Brown...hii si account fake binamu....wanaonijua wanakucheka tu kwa usichokijua huku ukijifanya unakijua 🤣🤣
 
Nakuelewa Sana Sana Sana tu
 
Kutwa yupo kule

Nikiweka ushabiki pembeni, SSH ni jembe kweli kweli kamanda wangu....though magufuli nae nilimkubali kwa kiasi flani....sisi wa kanda ya ziwa tunamshukuru kwa machache aliyotuachia kama vile barabara za lami, taa, traffic lights, daraja la busisi na mengineyo baadhi.

For me, mama huyu bado naimani nae.
 
Mbona husemi uwanja wa ndege ambao sahivi wanatua mwewe badala ya ndege?

poor leadership
 
kwa taarifa yako scope ya hizo nyumba za magomeni haikuanzia kwa utawala wa magufuli, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni kikwete
Mengi tu alikuwa anaanzisha Kikwete lakini yanamshinda nguvu, alikosa uwezo wa kufuatilia suala mpaka akauona mwisho wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…