Maghorofa yanachipuka kama uyoga jijini Mbeya awamu hii ya Dkt. Tulia na Rais Samia

Maghorofa yanachipuka kama uyoga jijini Mbeya awamu hii ya Dkt. Tulia na Rais Samia

Mji unaoongoza kwa squatters wengi. Ni wa HOVYO mno, bora kuanzisha mji mpya kabisaaaa. Nakubaliana na aliyesema Mbeya ni Kijiji Kikubwa!!!
Sawa lakini haizuii watu kujenga magorofa na kupata pesa 😂😂
 
Sababu kubwa ya Mbeya kuchelewa kuwa maghorofa.
1.Sheria za mipango miji
Mbeya ni moja ya kati ya miji iliyopitiwa moja kwa moja na bonde la ufa,Ina inaiweka Mbeya kuwa kwenye hatari ya kukumbwa na matetemeko.
Kwahyo sheria za zamani zili
A.Weka ugumu wa vibali vya ujenzi wa Ghorofa
B. Kiwango cha Idadi ya Ghorofa,miaka ya 2000 ilikuwa mwisho ghorofa 3
C.Maghorofa ya kabla ya miaka 2000,yalikuwa lazima yawe na Basements

Uwepo wa ukuaji wa ujenzi kwasasa, sababu inaweza ikawa
A.Kubadilishwa kwa sheria za mpango jiji
B.Uwepo wa mbinu bora za ujenzi
C.Ubora wa matilio wa kuhimili tetemeko
D.Ulegevu wa kufuata sheria

Hizi sheria siyo Mbeya tu, hata Babati zipo,
Dar yenyewe maeneo ya Oysterbay na Victoria sheria za mwanzoni zilikuwa haziruhusu ujenzi wa maghorofa marefu lakini uhitaji ndiyo umeruhusu.
 
Sababu kubwa ya Mbeya kuchelewa kuwa maghorofa.
1.Sheria za mipango miji
Mbeya ni moja ya kati ya miji iliyopitiwa moja kwa moja na bonde la ufa,Ina inaiweka Mbeya kuwa kwenye hatari ya kukumbwa na matetemeko.
Kwahyo sheria za zamani zili
A.Weka ugumu wa vibali vya ujenzi wa Ghorofa
B. Kiwango cha Idadi ya Ghorofa,miaka ya 2000 ilikuwa mwisho ghorofa 3
C.Maghorofa ya kabla ya miaka 2000,yalikuwa lazima yawe na Basements

Uwepo wa ukuaji wa ujenzi kwasasa, sababu inaweza ikawa
A.Kubadilishwa kwa sheria za mpango jiji
B.Uwepo wa mbinu bora za ujenzi
C.Ubora wa matilio wa kuhimili tetemeko
D.Ulegevu wa kufuata sheria

Hizi sheria siyo Mbeya tu, hata Babati zipo,
Dar yenyewe maeneo ya Oysterbay na Victoria sheria za mwanzoni zilikuwa haziruhusu ujenzi wa maghorofa marefu lakini uhitaji ndiyo umeruhusu.
Hizo sio sababu za msingi
 
Urban planning hapo mbeya.is poor pangeni mji wenu then mjenge hayo magorofa
Hakunaga planning nchi hii kaangalie hata miji midogo inayokua haijapangwa.

Wahusika hawajui kama ipo siku itakuja kuwa majiji makubwa.

Nchi imejaa wapuuzi wengi sana hii.
 
MBEYA ndio hyo kwenye picha !? Daah Tz tuko nyuma sana aseeh nlkuwa najua Mbeya labda ni km Arusha au Mwanza au niende nikakuone kwa macho
 
Hizo sio sababu za msingi
Tembelea Old Boma pale kivukoni,Jengo la Jiji.
Pale kuna gallery itakuonesha baadhi ya sheria za mipango miji ya jiji la Dar es Salaam.

Na kuhusu Mbeya ,mi nimekaa hapo kwa miaka mi5 na mwana taaluma wa tasnia ya Ujenzi.
Sijaandika ili kubishana ila nimewajuza tuu baadhi ya vitu na wala sijaweka siasa
 
MBEYA ndio hyo kwenye picha !? Daah Tz tuko nyuma sana aseeh nlkuwa najua Mbeya labda ni km Arusha au Mwanza au niende nikakuone kwa macho
Huu ndo mji wa Mbeya ni tofauti sana ukikutana na vijana wa Mbeya utadhania wanatokea mji wa maana kumbe wanatoka kwenye kijiji cha ajabu kabisa! Hii Mbeya inazidiwa na Mtaa wa Nyegezi hapo Mwanza!
Huu mji ndo tafsiri yenyewe ya ujinga na umasikini wa Watanzania kwa kuuita jiji wakati ni hovyo kabisa!
 
Kuna haja ya kuona na kupongezwa juhudi za makusudi za viongozi wetu hasa mheshimiwa Samia na Tulia.

Wananchi wa jiji la Mbeya tunaona uchumi wa mkoa wetu unakuwa Kwa kuangalia hata miundo mbinu.

Tunaona sekta ya ujenzi hususani nyumba Bora, nzuri zinaongezeka Kwa Kasi awamu hii.

Wito wangu wafanyabiashara tuendelee kuwezekeza Mbeya, pesa IPO.
Binafsi naona kuwa maendeleo ni upatikanaji wa huduma ya afya kwa gharama nafuu kwa wananchi, upatikanaji wa umeme wa uhakika na upatikanaji wa chakula kwa bei ya chini kabisa kwa mlaji ambaye ni mwananchi wa kawaida. Kama unapima maendeleo kwa kuangalia maghorofa nadhani bado hujui maana ya maendeleo.
 
Binafsi naona kuwa maendeleo ni upatikanaji wa huduma ya afya kwa gharama nafuu kwa wananchi, upatikanaji wa umeme wa uhakika na upatikanaji wa chakula kwa bei ya chini kabisa kwa mlaji ambaye ni mwananchi wa kawaida. Kama unapima maendeleo kwa kuangalia maghorofa nadhani bado hujui maana ya maendeleo.
Bado majengo na miundombinu mzuri inahifajika tu! Mfano Mbeya hapo mtu yeyote anaona miyeyusho na kukuna la maana!
 
Hakunaga planning nchi hii kaangalie hata miji midogo inayokua haijapangwa.

Wahusika hawajui kama ipo siku itakuja kuwa majiji makubwa.

Nchi imejaa wapuuzi wengi sana hii.
Inasikitisha sana na wapuuzi wanazidi kuzaliwa kila siku hapa TZ
 
Binafsi naona kuwa maendeleo ni upatikanaji wa huduma ya afya kwa gharama nafuu kwa wananchi, upatikanaji wa umeme wa uhakika na upatikanaji wa chakula kwa bei ya chini kabisa kwa mlaji ambaye ni mwananchi wa kawaida. Kama unapima maendeleo kwa kuangalia maghorofa nadhani bado hujui maana ya maendeleo.
Mkuu ili kuona watu wa mahali Fulani Wana maendeleo Kuna mambo mengi ya kuangalia mojawapo likiwa makazi ya watu, mavazi, vyakula, huduma za kijamii kama umeme, maji afya, ELIMU, nk. Dar es salaam haiwezi kuwa sawa na London hata Kwa kuangalia majengo.
Mbeya Kwa miaka mingi wenye pesa zao walikuwa wanajenga Dar. Lakini Sasa wamepata akili wanawekeza kwao. Kuna jitihada omefanyika ...
 
MBEYA ndio hyo kwenye picha !? Daah Tz tuko nyuma sana aseeh nlkuwa najua Mbeya labda ni km Arusha au Mwanza au niende nikakuone kwa macho
Mko nyuma kulinganisha na wapi? Kwani hata usipokuja kupaona inapunguza kipi Kwa Wana Mbeya?
images - 2022-12-08T174746.331.jpeg
images - 2022-12-08T175044.664.jpeg
20221125_083948.jpg
that_mbeya_guy_1680353128961733.jpg
that_mbeya_guy_1680353066234609.jpg
 
Bado majengo na miundombinu mzuri inahifajika tu! Mfano Mbeya hapo mtu yeyote anaona miyeyusho na kukuna la maana!
Kwani hiyo miundombinu mizuri haijengwi? Tunaojua Mbeya ya zamani na Sasa ndio tunakwambia Mbeya inakua Kwa Kasi sana kuanzia viwanda Hadi Majengo.

Umekimbia jukwaa la Mwanza baada ya kupewa za uso umekuja kujificha huku 😁😁.

Mbeya haijengwi na Serikali Bali wazawa wa Mbeya.
 
Huu ndo mji wa Mbeya ni tofauti sana ukikutana na vijana wa Mbeya utadhania wanatokea mji wa maana kumbe wanatoka kwenye kijiji cha ajabu kabisa! Hii Mbeya inazidiwa na Mtaa wa Nyegezi hapo Mwanza!
Huu mji ndo tafsiri yenyewe ya ujinga na umasikini wa Watanzania kwa kuuita jiji wakati ni hovyo kabisa!
Pale mwana Mwanza anapoumia kuona Jiji la Mbeya linazidi kukimbia.

Bado hamjasema 👇
20240228_211457.jpg
20240228_211426.jpg
-1122209919.jpg
 
Tembelea Old Boma pale kivukoni,Jengo la Jiji.
Pale kuna gallery itakuonesha baadhi ya sheria za mipango miji ya jiji la Dar es Salaam.

Na kuhusu Mbeya ,mi nimekaa hapo kwa miaka mi5 na mwana taaluma wa tasnia ya Ujenzi.
Sijaandika ili kubishana ila nimewajuza tuu baadhi ya vitu na wala sijaweka siasa
Wewe ni mojawapo ya watu makanjanja ambao mlikariri upuuzi na kumezesha jamii sanjali na kusababisha Jiji letu lisikue inavyostahili,mlitakiwa kucharazwa bakora hadharani.

Ukiacha huo ujinga uliotaja hapo Juu,mlishindwa kabisa kupima kupanga Mji zaidi ya kula Kodi za Bure.Wewe ni mtu wa hovyo kabisa na hukupaswa kuropoka hapa Jukwaani.

Eti tetemeko,njia ya tetemeko imepita Mbeya pekee? Upuuzi.
 
Back
Top Bottom