Maghorofa yanachipuka kama uyoga jijini Mbeya awamu hii ya Dkt. Tulia na Rais Samia

Maghorofa yanachipuka kama uyoga jijini Mbeya awamu hii ya Dkt. Tulia na Rais Samia

Mbaya kama mabweni ya High school ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Kaka kubali tu hiyo hospital yako yenye floor nne usinge ipata bila Magufuli! Kwa ujumla Mbeya bado sana mambo mengi!
Hakuna majengo ya maana hapo Mbeya hata wewe unajua!
 
Kaka kubali tu hiyo hospital yako yenye floor nne usinge ipata bila Magufuli! Kwa ujumla Mbeya bado sana mambo mengi!
Hakuna majengo ya maana hapo Mbeya hata wewe unajua!
Ona ulivyo mbumbumbu,jengo Lina floor 6 wewe unasema 4 ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Mwanza nzima hamtakaa mpate Private hospital yenye jengo zuri kama hii Ks Hospital Mbeya ๐Ÿ‘‡

View: https://youtu.be/968ykcE8z_s?si=K2wiHHhx1DZNeDI9

Ukibisha nitakuletea Maranatha hospital,hapa huwezi Toka ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Hapo kuna nini sasa jengo hilo halina hadhi ya Bugando hata robo hata jengo la Seke Toure hospital ni zuri!
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿคธ
Maranatha hospital under construction.

View: https://youtu.be/5cNM2725c0w?si=dPsrXk19SYW-KyRB

Awamu ya kwanza imekamilika na Inawaka kama Hoteli.Ujenzi.unaendelea awamu ya pili.

View: https://youtu.be/nXYiOdL0in8?si=VYrAueEUcYwaUFj4

Umekariri maisha unajua Mbeya ni Ile Ile unayo google si ndio? ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Wewe ni mojawapo ya watu makanjanja ambao mlikariri upuuzi na kumezesha jamii sanjali na kusababisha Jiji letu lisikue inavyostahili,mlitakiwa kucharazwa bakora hadharani.

Ukiacha huo ujinga uliotaja hapo Juu,mlishindwa kabisa kupima kupanga Mji zaidi ya kula Kodi za Bure.Wewe ni mtu wa hovyo kabisa na hukupaswa kuropoka hapa Jukwaani.

Eti tetemeko,njia ya tetemeko imepita Mbeya pekee? Upuuzi.
Mkuu umekaa kisiasa sana, mimi sipo hapa kubeza maendeleo yanayofanywa na Serikali, la hasha.
Ila nakuja kwenye upande ambao ulikuwa haujui na ndiyo maana nimekupa na reference.
1.Maeneo yote ambayo nyufa za bonde zipo karibu na surface sheria zake za ujenzi ni tofauti na mengine.
Mfano: Mbeya,Njombe,Morogoro na Babati.

2.Kwa pale Posta(Dar),sheria za ujenzi kabla ya 2000 zilikuwa haziruhusu jengo lenye urefu wa zaidi ya Ghorofa 7.(By then Kitega uchumi lilikuwa refu)

3.Oysterbay na Masaki ilikuwa haitakiwi jengo la ghorofa la ofisi, ila sasa...


Hii Tunaita building codes na building Zones
Kwa mfano.
1.Kuna maeneo yapo maalum kwa viwanda, hapo Mbeya ni pale Iyunga upande...wa Tazara,SBL na TBL

2.Kuna maeneo yametengwa kwa ajili ya Nyumba za Ghorofa tu.
Mfano.Dar eneo la Mbweni Teta, na hata Dodom lipo eneo.

3.Kuna maeneo hairuhusiwi kuwa na Shamba.
Mfano:Ndani ya Jiji la Dar es Salaam hairuhusiwi kuwa na mashamba.
 
Wewe ni mojawapo ya watu makanjanja ambao mlikariri upuuzi na kumezesha jamii sanjali na kusababisha Jiji letu lisikue inavyostahili,mlitakiwa kucharazwa bakora hadharani.

Ukiacha huo ujinga uliotaja hapo Juu,mlishindwa kabisa kupima kupanga Mji zaidi ya kula Kodi za Bure.Wewe ni mtu wa hovyo kabisa na hukupaswa kuropoka hapa Jukwaani.

Eti tetemeko,njia ya tetemeko imepita Mbeya pekee? Upuuzi.
Na kuhusu Tetemeko,
Unaweza ukatafuta data kutoka mamlaka ya Jiorojia mtandaoni.
Pia katika eneo la Forest kuna mashimo yalichimbwa kwa ajili ya majaribio ya tetemeko...
Anyway,mkuu Jamii Forum ni sehemu kupeana taarifa na kujuzana na siyo kukebiana.
 
Back
Top Bottom