INAUZWA Magodoro mawili 5×6 yanauzwa..

Dear huoni kuomba radhi kwako kunaweza kunipotezea thread yangu?!..
Usiombe radhi ki-rahisi hivyo ili kumfurahisha fulani, kama sio utamaduni wako..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yaani wewe ni (pimbi) utani mkuu.
Unafaa kuwa mpiga kampeni wa magu..
 
Kwaiyo wewe thread ni bora zaidi kuliko laana nnazolaaniwa [emoji2] [emoji2] nadhani nikiokota makopo ndio utafurahi
Yaani huyu mtani wako ana vituko balaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe ume play part yako mkuu
 
We mwenyewe ni laana kwangu maana isingelikua hii MIGORO YAKO nisingelaaniwa kwa kweli [emoji2] [emoji2] [emoji2] nakuogopa
Aaaaaah, huyo ni mtani wako bhana usimwogope
 
We dogo njoo chukua hiyo hela ubaki na magodoro yako tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…