black chinese
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 1,148
- 1,228
- Thread starter
-
- #261
Hamna dear, tatizo sio magodoro.. tatizo ni malezi tu..We mwenyewe ni laana kwangu maana isingelikua hii MIGORO YAKO nisingelaaniwa kwa kweli [emoji2] [emoji2] [emoji2] nakuogopa
Airtel money please..We dogo njoo chukua hiyo hela ubaki na magodoro yako tu
Basi Fanya uje nikulee mieHamna dear, tatizo sio magodoro.. tatizo ni malezi tu..
Sitaki kuwa kama wewe..Basi Fanya uje nikulee mie
[emoji2] [emoji2] [emoji2] kwani mie nna nini? Au nimejipaka mavi usoniSitaki kuwa kama wewe..
Hapana.... ila malezi yako hayakuwa mazuri dear..[emoji2] [emoji2] [emoji2] kwani mie nna nini? Au nimejipaka mavi usoni
Uwanja ni wenu, mkikubaliana mniite kuwa mshenga[emoji23][emoji2] [emoji2] [emoji2] kwani mie nna nini? Au nimejipaka mavi usoni
Sitaki kuwa kama wewe..
Basi Fanya uje nikulee mie
Hapana kaka.. bado tunahitaji mchango wenu katika kuiimarisha thread yetu..Uwanja ni wenu, mkikubaliana mniite kuwa mshenga[emoji23]
Ni maoni yako nayaheshimu, ila Niko so much proud kua Mimi na kupitia kwenye Malezi ya Dr.Hadi mpaka hii Leo nawalea wengine, sijalelewa kua mwoga wa maneno na macho ya watu hivyo we endelea kushupaa tu Mimi nasimama na ninachokiamini na ndivyo ninavyowalea watoto wanguHapana.... ila malezi yako hayakuwa mazuri dear..
Kumbe haja yako ilikua kuchangamsha fikra zako kwa kua na idadi ya page nyingi hahahahaaa pole sana imetosha sasa tafuta kingine cha maana bila lile neno langu nililoombea radhi hakika usingefika hata page 3Hapana kaka.. bado tunahitaji mchango wenu katika kuiimarisha thread yetu..
Ok.. ngoja basi nifungue thread nyingine ya kuuza majaba.. usikose kuja dear..Kumbe haja yako ilikua kuchangamsha fikra zako kwa kua na idadi ya page nyingi hahahahaaa pole sana imetosha sasa tafuta kingine cha maana bila lile neno langu nililoombea radhi hakika usingefika hata page 3
LadyAJNi maoni yako nayaheshimu, ila Niko so much proud kua Mimi na kupitia kwenye Malezi ya Dr.Hadi mpaka hii Leo nawalea wengine, sijalelewa kua mwoga wa maneno na macho ya watu hivyo we endelea kushupaa tu Mimi nasimama na ninachokiamini na ndivyo ninavyowalea watoto wangu
Sasa auze tv mbovu na kitanda[emoji23]Kumbe haja yako ilikua kuchangamsha fikra zako kwa kua na idadi ya page nyingi hahahahaaa pole sana imetosha sasa tafuta kingine cha maana bila lile neno langu nililoombea radhi hakika usingefika hata page 3
Maswali ya karaha na majibu ya jeuriUkishanunua sitokupangia matumizi.. unaweza hata kuwalazia mbwa.. ni uamuzi wako ndugu..
Binafsi nayalalia mwenyewe.
Sasa mbona "una-bihevu" kama lilevi la kutupwa mitaroni! Next time be human, kid!Astaghafillah mlaani shetan kaka yangu Mimi hayo mvitu yenu huwa situmii kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ok.. ngoja basi nifungue thread nyingine ya kuuza majaba.. usikose kuja dear..
Mhh mbona km yanatisha mkuuHello.. necta kwa uzembe wamepoteza kumbukumbu za vyeti vyangu hivyo kusababisha niwekwe kwenye kundi la watu wenye vyeti feki..
Nataka kurudi kijijini kujaribu kilimo lakini nimekwama nauli kwa sababu sijapewa mshahara wa mwezi uliopita..
Hivyo imenilazimu kuuza magodoro yangu mawili ambayo bado yapo katika hali nzuri.. yote mawili kwa 150k.. ila ukitaka moja utanipa 80k.. bei ni fixed.
Serious buyers tuwasiliane kwa 0687 089980..
Location: Mkuranga centre.
View attachment 505701
Nafahamu jinsi watoto walivyo waoga ndo maana tangazo hili nimewawekea watu wazima tu... rudisha simu kwa mama..Mhh mbona km yanatisha mkuu
Mmh!! Wakati unaninyooshea kidole kusema neno moja kumbuka una vidole vi 4 vyakutazama, we angalia maisha yako tu inatosha my kindness or rudeness won't change your any thingSasa mbona "una-bihevu" kama lilevi la kutupwa mitaroni! Next time be human, kid!
Awww,thats sweet darln.Ok you win Guys, am sorry for all the dishes were hurt by my words .....am real sorry