INAUZWA Magodoro mawili 5×6 yanauzwa..

INAUZWA Magodoro mawili 5×6 yanauzwa..

Kuna ukweli ambao ni mgumu kumeza. Trump alikuwa sahihi juu ya Waafrika. Hata ladyAj yupo sahihi tatizo letu huwa tunapenda tufarijiwe, tupewe vimaneno vyepesi vya kiuongouongo
 
Kuna ukweli ambao ni mgumu kumeza. Trump alikuwa sahihi juu ya Waafrika. Hata ladyAj yupo sahihi tatizo letu huwa tunapenda tufarijiwe, tupewe vimaneno vyepesi vya kiuongouongo
Ukweli huwa unategemea na mazingira ya watu na maeneo sometimes... kwa mfano kwa mazingira niliyokulia mimi, ukinambia haya magodoro hayafai kulalia... kwa kweli sitokuelewa..
Kwa mazingira ya ki-Africa mtu akienda yard kununua gari second hand huwa anaonekana shujaa.. lakini zipo familia wakikuona unanunua gari mtumba wanakushangaa na kukuona umefeli maisha.
So wapo watakaomwona lady yuko sahihi na watakaomwona hayuko sahihi kutokana na mazingira tofauti tuliyotoka.
 
Ukweli huwa unategemea na mazingira ya watu na maeneo sometimes... kwa mfano kwa mazingira niliyokulia mimi, ukinambia haya magodoro hayafai kulalia... kwa kweli sitokuelewa..
Kwa mazingira ya ki-Africa mtu akienda yard kununua gari second hand huwa anaonekana shujaa.. lakini zipo familia wakikuona unanunua gari mtumba wanakushangaa na kukuona umefeli maisha.
So wapo watakaomwona lady yuko sahihi na watakaomwona hayuko sahihi kutokana na mazingira tofauti tuliyotoka.
Basi waambie waache kunisakama,maana hadi nawashangaa eti
 
Kosa lako wewe ulichukulia hili tangazo kama ulitumiwa wewe.. ulishindwa kufikiria kuwa kuna watu wa mazingira na mahitaji tofauti hata humu jf..
Hatuwezi kufanana na zaidi ya yote JF hatupangiani cha kusema nyie endeleeni kulaani upepo mwisho utawapausha pau
 
Hatuwezi kufanana na zaidi ya yote JF hatupangiani cha kusema nyie endeleeni kulaani upepo mwisho utawapausha pau
Ni sawa.. hata mimi wakati nilipokuwa mgeni fb, niliwahi kugombana na mtu kisa alikuwa anatuma post nisizozipenda... ilinichukua muda kugundua kuwa naweza kum-block ili nisizione tena post zake bila kugombana nae..
 
Ni sawa.. hata mimi wakati nilipokuwa mgeni fb, niliwahi kugombana na mtu kisa alikuwa anatuma post nisizozipenda... ilinichukua muda kugundua kuwa naweza kum-block ili nisizione tena post zake bila kugombana nae..
Vijiba vya roho vitawaua kwa kweli
 
Kijiba kwa kipi?!..
Mkuu just leave her it's enough then... Au unataka ufkishe 100 pages kwa hii thread. What I blv is silent is a good answer for foolish. So ukiendelea kujibzana it will lower your credibility. Kila ukiendelea kumjibu mtu ndo anazd kukuambia neno la kukukera so km utanyamaza itakua vzr mkuu ninavyohc mm. Samahan lkn km nimekukwaza
 
Mkuu just leave her it's enough then... Au unataka ufkishe 100 pages kwa hii thread. What I blv is silent is a good answer for foolish. So ukiendelea kujibzana it will lower your credibility. Kila ukiendelea kumjibu mtu ndo anazd kukuambia neno la kukukera so km utanyamaza itakua vzr mkuu ninavyohc mm. Samahan lkn km nimekukwaza
Lengo ni burudani kaka... sioni ubaya kama tutaendelea ku-maintain thread yetu.
 
Mkuu just leave her it's enough then... Au unataka ufkishe 100 pages kwa hii thread. What I blv is silent is a good answer for foolish. So ukiendelea kujibzana it will lower your credibility. Kila ukiendelea kumjibu mtu ndo anazd kukuambia neno la kukukera so km utanyamaza itakua vzr mkuu ninavyohc mm. Samahan lkn km nimekukwaza
Lengo lako ni jema, lkn msome black chinise vizuri.
Lengo sio biashara bali alitaka kutueleza hali halisi wanaopitia waathirika wa vyeti vyenye mashaka.
Huyu jamaa ni fundi wa maneno...comediani.
Acha mechi iendelee, zote ni ids fake na avatar so hakuna wa kuaibika
Cc@ black chinise, LadyAJ
 
Lengo lako ni jema, lkn msome black chinise vizuri.
Lengo sio biashara bali alitaka kutueleza hali halisi wanaopitia waathirika wa vyeti vyenye mashaka.
Huyu jamaa ni fundi wa maneno...comediani.
Acha mechi iendelee, zote ni ids fake na avatar so hakuna wa kuaibika
Cc@ black chinise, LadyAJ
Ahaaa nlikua cjafaham bac sawa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unashangaa nini! Hawa ndio wale nyie wachaga mnawaita waswahili, wakipata wanainua pua utadhani mbwa dume kanusa kule[emoji23] wachaga na mafanikio yoote huwezi kusikia kauli ya dharau kama ile
Mungu hapendi na watakuambia atakushusha kama unajiinua
 
Ukitaka raha na kufaidi maisha haya kuwa simple.
Hata uwe mzuri. Hata uwe Tajiri. Hata uwe na cheo. Kuwa simple tu. Utapendwa na watu mpk mwenyewe ushangae.
Kiburi ni tabia ya bilisi. Sasa nani kati yetu anataka awe kama bilisi?
siyo mimi
 
Back
Top Bottom