Magogoni Ikulu imechoka, ni bora walivyoamua kuhamia Chamwino

Ina maana CEO raisi analala Kwa tabu Sana 😂, na kuna Muda analala chini kabisa 😂
 
Kuna haja ya lazima ya Ku invest kwenye taasisi za serikali zinazo husika na ujenzi na fundi.

Jkt, temesa,vets etc wapewe ujuzi na elimu ya kutumia vifaa vya kisasa Generation ya 6 na wawe up-to-date kwenye New technologies and science,
JKT wana manpower ya kutosha ila ujuzi mdogo. Investment ikifanyika ya kutosha JKT wana mengi sana ambayo ni bora kushinda taasisi nyingi tu zinazohusika na ujenzi au miradi.
 

ITitle ya Uzi mods wamebadilisha tayari 😂

Before: Magogoni Ikulu imeoza, ni bora walivyo amua kuhamia Chamwino​

After: Magogoni Ikulu imechoka, ni bora walivyo amua kuhamia Chamwino
Mods pia wamekosea...inatakiwa iwe...
Ikulu ya magogoni inatakiwa ifanyiwe marekebisho/ matengenezo...(renovation)
 
Kuna haja ya lazima ya Ku invest kwenye taasisi za serikali zinazo husika na ujenzi na fundi.

Jkt, temesa,vets etc wapewe ujuzi na elimu ya kutumia vifaa vya kisasa Generation ya 6 na wawe up-to-date kwenye New technologies and science,
Ukiambiwa pesa iliyotumika hapo ndio utajuwa tatizo siyo teknolojia wala utaalam, bali tatizo matumbo ya watu hayatosheki.
 
JKT wana manpower ya kutosha ila ujuzi mdogo. Investment ikifanyika ya kutosha JKT wana mengi sana ambayo ni bora kushinda taasisi nyingi tu zinazohusika na ujenzi au miradi.
Jkt uwezo Wao ni mdogo Sana, 😂
 
Mkuu kuna nini kinaendelea huko Zimbabwe kinachohusisha mwenge?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…