Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameacha kabisaZimemomonyoka wakapaka Rangi nyeusi
Maghayo vipi ni uchovu wa kubeba boksi ndiyo umefanya umechanganya mafaili@maviga unasemaje sasa?
Nyau
Hahaha hahaha hahah😅😅😅😆👌🏿👆🏿👆🏿👆🏿Maghayo vipi ni uchovu wa kubeba boksi ndiyo umefanya umechanganya mafaili
😀😀😀
Kwa sasa Maghayo anadai ni football analyst based in England...Anabeba maboksi ya ikulu ama ya wapi
Alisema mwenyeweKivipi mkuu anatetemeka?
Fafanua
Duuuh.. nafasi za kulazimishwaAlisema mwenyewe
Ufisadi hua ni mfumo na unatengenezwa kwa muda mrefu Sana Ili watu wapigie hela bila kelele kwa kutuandaa kisaikolojia 😅😅.... Mkuu nimekusoma, kamateni hizo Tenda za kukarabati ikuluHii 👇 ni tukio la Leo
📍Dar es Salaam
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamojana Balozi wa Tanzania nchini Comoro Mhe. SaidiYakubu mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika IkuluJijini Dar es salaam tarehe 15 Mei 2024.
📸:O/Makamu wa Rais.
Angalia msingi wa ikulu,( foundation) yenye Rangi black, imeumuka,kuvimba Hii 👇 inasababishwa na uchakavu wa Jengo husika,
Ikichagizwa na natural conditions ya eneo husika mfano chumvi chumvi, magadi, maji maji.
Hongera Kwa kuhamia Chamwino, japo huko nako kuna magadi na chumvi ya kufa MTU.
View attachment 2990847kutoka