Magogoni Ikulu imechoka, ni bora walivyoamua kuhamia Chamwino

Magogoni Ikulu imechoka, ni bora walivyoamua kuhamia Chamwino

Ufisadi hua ni mfumo na unatengenezwa kwa muda mrefu Sana Ili watu wapigie hela bila kelele kwa kutuandaa kisaikolojia 😅😅.... Mkuu nimekusoma, kamateni hizo Tenda za kukarabati ikulu
Eti bwana , tunaendaje kwenye Uchaguzi bila kufanya rehabilitation
 
Kwa hio ikulu ni Mali ya wavaa kobasi
Mali ya Taifa.
Hivi kwani kobasi zina shida gani wakati ni utamaduni wa watu?
Au utamaduni wa mzungu ndio mzuri tu kuvaa suti na boots?
Ukitaja wavaa kobasi, mbona hata Yesu was potrayed amevaa kobasi wakati wote.......wavaa kobasi kobasi.....hebu nenda duka la hizo kobasi kaulize bei.
Dharau zingine hazina msingi wakati hata Mungu wako Yesu ni mvaa kobasi.
 
Hii 👇 ni tukio la Leo

📍Dar es Salaam

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamojana Balozi wa Tanzania nchini Comoro Mhe. SaidiYakubu mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika IkuluJijini Dar es salaam tarehe 15 Mei 2024.

📸:O/Makamu wa Rais.

Angalia msingi wa ikulu,( foundation) yenye Rangi black, imeumuka,kuvimba Hii 👇 inasababishwa na uchakavu wa Jengo husika,

Ikichagizwa na natural conditions ya eneo husika mfano chumvi chumvi, magadi, maji maji.

Hongera Kwa kuhamia Chamwino, japo huko nako kuna magadi na chumvi ya kufa MTU.


View attachment 2990847kutoka
Achana na koti lake, mbona haliko poa tu.
 
Mwenge unabomoa nchi, tunalala kwa huzuni. Isaya 50:11

Isaya 50:11 BHN
Lakini nyinyi mnaowasha moto, na kujifanyia silaha za mienge, tembeeni kwa mwanga wa moto huo, miali ya moto mliowasha nyinyi wenyewe. Mtakachopata kutoka kwa Mwenyezi-Mungu ni hiki: Nyinyi mtalala chini na mateso makali.

Isaya 50:11 SRUV​

Tazama, ninyi nyote mwashao moto, mjifungiao hiyo mienge; endeni ninyi katika muali wa moto wenu, na katikati ya mienge mliyoiwasha. Mtayapata haya kwa mkono wangu; mtalala kwa huzuni.

Inabidi mtu jasiri atoe maoni uwekwe makumbusho sasa. Tuhamie katika kuelimisha watu ili wajitambue na uhuru uweze kuleta manufaa na maendeleo
 
Ikulu imejengwa na Germany, UK,
Tiles hazisaidi chochote Hapo, huo msingi umeoza Kwa ndani kabisa
Ingekuwa rangi ikiwa hivyo msingi umeoza labda 75% ya Nyumba za Dar zingekuwa za kubomoa....
Nafikiri utafute Elimu zaidi ya Rangi......+ weathering
 
Back
Top Bottom