Eti bwana , tunaendaje kwenye Uchaguzi bila kufanya rehabilitationUfisadi hua ni mfumo na unatengenezwa kwa muda mrefu Sana Ili watu wapigie hela bila kelele kwa kutuandaa kisaikolojia π π .... Mkuu nimekusoma, kamateni hizo Tenda za kukarabati ikulu
Eeh ππKwan ikulu Bongo ziko ngapi ?
Jibu swaliKwan ikulu Bongo ziko ngapi ?
Negativity,vijana wapo dhidi ya serikali yao,wanaamini ipo pale ili iwatie shidaUliandika heading chechefu sana!!
Mali ya Taifa.Kwa hio ikulu ni Mali ya wavaa kobasi
Achana na koti lake, mbona haliko poa tu.Hii π ni tukio la Leo
πDar es Salaam
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamojana Balozi wa Tanzania nchini Comoro Mhe. SaidiYakubu mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika IkuluJijini Dar es salaam tarehe 15 Mei 2024.
πΈ:O/Makamu wa Rais.
Angalia msingi wa ikulu,( foundation) yenye Rangi black, imeumuka,kuvimba Hii π inasababishwa na uchakavu wa Jengo husika,
Ikichagizwa na natural conditions ya eneo husika mfano chumvi chumvi, magadi, maji maji.
Hongera Kwa kuhamia Chamwino, japo huko nako kuna magadi na chumvi ya kufa MTU.
View attachment 2990847kutoka
Mwenge unabomoa nchi, tunalala kwa huzuni. Isaya 50:11
Isaya 50:11 BHN
Lakini nyinyi mnaowasha moto, na kujifanyia silaha za mienge, tembeeni kwa mwanga wa moto huo, miali ya moto mliowasha nyinyi wenyewe. Mtakachopata kutoka kwa Mwenyezi-Mungu ni hiki: Nyinyi mtalala chini na mateso makali.
Isaya 50:11 SRUV
Tazama, ninyi nyote mwashao moto, mjifungiao hiyo mienge; endeni ninyi katika muali wa moto wenu, na katikati ya mienge mliyoiwasha. Mtayapata haya kwa mkono wangu; mtalala kwa huzuni.
Kumbe bado hupo jamvin mkuuUmefika ikulu mara ngapi na sehemu ngapi za ikulu umeziona mkuu
Muheshimiwa,"tayarizi" ndiyo chakula gani?Huko western countries wanajali vitu vyao na kuvidhamini.
Hizo tayarizi SS ni kama za tamisemi walizo zitumia kuziweka kwenye shule za kata
Ni ya kawaida nyumbani kwao...sio kwa IKULU ya nchi.Mbona hiyo ni hali ya kawaida kwenye mijengo...hapo marekebisho yanafanyika tu, kikubwa waweke tiles badala ya rangi
Ingekuwa rangi ikiwa hivyo msingi umeoza labda 75% ya Nyumba za Dar zingekuwa za kubomoa....Ikulu imejengwa na Germany, UK,
Tiles hazisaidi chochote Hapo, huo msingi umeoza Kwa ndani kabisa
Tuombe tenda ya ukarabati wa ikulu ya magogoni