Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Tatizo sio kufungwa, ila ni kutuumizia wachezaji muhimu ambao tunawatumia kimataifa kiasi cha kuwabeba hata hao Biashara untd.Simple as that, Nyie si ndio mnajiita timu kubwa basi hizi timu ndogo zikiwafunga au zikitoa draw zitapewa zawadi na motisha kwa jambo lao la kishujaa na hakuna namna ya kulalamika kama nyie mkiwa bora
Msimu ujao tutachagua timu za kuzibeba hawana shukrani hao niashara.
Hawaiheshimu timu iliyowaonjesha mashindano ya kimataifa.