Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mbona hamsemi mnategemea kuingiza shs kwenye hii filamu?Hujui kitu Wewe. Uliza au soma uweze kuelewa naona uwezo wako wa kuelewa mambo hadi sasa Uko Chini sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hamsemi mnategemea kuingiza shs kwenye hii filamu?Hujui kitu Wewe. Uliza au soma uweze kuelewa naona uwezo wako wa kuelewa mambo hadi sasa Uko Chini sana.
hahahaha aibu yaoutakufa na chuki, saga chupa utafune
maana yake hauna umuhimu wowote, , kaa kwa kutulia shughuli za watu ziendeleeSijapewa mwaliko
Hongera kwa kuelewaHujui kitu Wewe. Uliza au soma uweze kuelewa naona uwezo wako wa kuelewa mambo hadi sasa Uko Chini sana.
Mpuuzi wewe kodi za wananchi zinatafunwamaana yake hauna umuhimu wowote, , kaa kwa kutulia shughuli za watu ziendelee
Anafanya kazi kubwa na ngumu sana, wewe kulipa kodi yako haiwi ndio nongwa ya kuweza kumtawala urais wake.Kipindi hiki cha tozo na makodi kibao unasikia kina mtu anatumia kodi yako kutalii kwa jina la royal tour
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Sukuma gang hamuiwezi sasa imerudi kwa kasi ya 6G hakunagaChief wa machief TZ! Chief Hangaya hahaha, wasukuma wametisha
Kutafuna tozo kunauma kuliko kutafuna chupa zilizosagwa,utakufa na chuki, saga chupa utafune