Magufuli, a Man of the People

Magufuli, a Man of the People

Kwa kwakuwa kaongea ndio kafanya ila wale wasio ongea ndio hawajafanya si ndicho unacho maanisha?

Kwa hiyo mama alivyo sema ukinizingua na kuzingua, kwa let say chochote kitakacho tokea sasa kwa mtizamo wako Mama Samia atakuwa kahusika si una maanisha hivyo?
Hata body language huijui?

Magufuli alipokuwa anatoa hizo kauli ilikuwa ni critical threat kwa watu wote ambao wanamkosoa

Wakati Magufuli anasema msaliti lazima auwawe ndio siku hiyo hiyo ambayo masaa machache lissu akapigwa risasi

Kama utataka kumtetea kuwa sio yeye, kwanini hakuunda operation ya uchunguzi wa tukio hilo?

Kwanini alizuia watu wasimuombee lisu pamoja na kumnyima haki zake za kibunge?

Magufuli kafariki ila sio wote wameumia, kwangu mimi kipaumbele nakiweka kwenye kujali uhai wa mtu kuliko tozo za mihamala
 
Siku mkiigundua yule hakuwa anastahili kuwa rais uje mbio ufute hii post haraka sana. aliwadanganya watu kuwa ni rais wa wanyonge huku akiwa anafanya vya watu wa hali ya juu analeta ndege nani mnyonge wa kuweza kupanda hiyo ndege................. bora hata na alieleta ndege za fastjet zenye ubei nafuu... Matokeo yake anatusababishia shida mpk kufanya mama ashindwe ongoza vema nchi hii... MTAELEWA TUU
Umenena vyema mkuu, Rais wa wanyonge aliyepiga 1.5tr
 
Hata body language huijui?

Magufuli alipokuwa anatoa hizo kauli ilikuwa ni critical threat kwa watu wote ambao wanamkosoa

Wakati Magufuli anasema msaliti lazima auwawe ndio siku hiyo hiyo ambayo masaa machache lissu akapigwa risasi

Kama utataka kumtetea kuwa sio yeye, kwanini hakuunda operation ya uchunguzi wa tukio hilo?

Kwanini alizuia watu wasimuombee lisu pamoja na kumnyima haki zake za kibunge?

Magufuli kafariki ila sio wote wameumia, kwangu mimi kipaumbele nakiweka kwenye kujali uhai wa mtu kuliko tozo za mihamala
Magufuli alikuwa na taarifa zote za kiintelijensia kuhusu Lissu,taarifa ambazo wewe huna,kwa hiyo unaongea usiyo yajua,ingekuwa busara kwako kunyamaza.
 
We know why you are so angry with JPM.

Aidha alikuwajibisha kwa uovu wako,ni kuadi wa mabeberu au you are just evil,because evil people do not like good people.

Anyway,ninyi ni warriors tu wa mtandaoni,hamtabadilisha msimamo wa Watanzania kwamba JPM is the President Tanzania has ever had.
Wewe ni mnyonge ambaye hujui maovu na mauaji aliyofanya jiwe. Mkiona barabara basi unabinuka na kusema maendeleo si ndiyo haya, hujui maendeleo ni zaidi ya barabara. Mtu kama wewe ambaye hata kodi hulipi kweli unaweza kuchambua mambo ya nchi? Jua tu kuwa mungu wako alikuwa muovu sana
 
Magufuli alikuwa na taarifa zote za kiintelijensia kuhusu Lissu,kwa hiyo unaongea usiyo yajua,ingekuwa busara kwako kunyamaza.
Sasa asiwe nazo wakati yeye ndiye aliye lead the whole operation?
 
Narudia,ninyi ni warriors tu wa mtandaoni,hamtabadilisha msimamo wa Watanzania kwamba JPM is the best President Tanzania has ever had.

Maombolezo ya kifo chake proves this assertion
Serikalini yenyewe hata ilishampuuza
 
Hata body language huijui?

Magufuli alipokuwa anatoa hizo kauli ilikuwa ni critical threat kwa watu wote ambao wanamkosoa

Wakati Magufuli anasema msaliti lazima auwawe ndio siku hiyo hiyo ambayo masaa machache lissu akapigwa risasi

Kama utataka kumtetea kuwa sio yeye, kwanini hakuunda operation ya uchunguzi wa tukio hilo?

Kwanini alizuia watu wasimuombee lisu pamoja na kumnyima haki zake za kibunge?

Magufuli kafariki ila sio wote wameumia, kwangu mimi kipaumbele nakiweka kwenye kujali uhai wa mtu kuliko tozo za mihamala
"Wakati Magufuli anasema msaliti lazima auwawe ndio siku hiyo hiyo ambayo masaa machache lissu akapigwa risasi"

"Kwanini alizuia watu wasimuombee lisu pamoja na kumnyima haki zake za kibunge?"

Unaweza thibisha hizo kauli? Sababa events zote za Magu zilikuwa covered na Azam kupitia UTV, TBC na Millard Ayo.

Kwa hiyo ww unatizama body language then unahukumu.

So Ulimboka kutekwa ,Mwakyembe kulishwa sumu,Kubenea kumwagiwa tindikali, yule boss mwenye maduka pale Msimbazi kumwagiwa tindikali nk hatuwezi kumuhukumu rais wa kipindi hiko sababu ya body language yake duuuu. Nyie ndio wale mvua ikinyesha kipindi jua linawaka "Simba anazaa ".
 
Kauli zipi?

Kikwete ulikuwa husikii sababu bado mitandao ya kijamii ilikuwa haina nguvu, kama ungekuwa msomaji wa magazeti kama Mwanahalisi au Raia Mwema walikuwa wanaongelea sana kupotea kwa watu na watu kupatikana ufukweni.

Hivi kauli hii ya Nyerere "Tunakuapisha ili usitusaliti........." unajua ina maana gani?

Halafu unasema yalikuwa machache, vipi la Dr Mwakyembe kulishwa sumu, ambayo ili athiri ngozi yake, vipi Kubenea kumwagiwa tindikali bado kuna duka moja la kuuza nguo, lilikuwa maeneo ya Msimbazi boss wake alimwagiwa tindikali au ulikuwa bado hujazaliwa.
Nchi yoyote mambo kama hayo hayakosi. Sema yanafanywa na nani? Jiwe alikuwa anaua watu wake.
 
Magu nilikuwa namkubari sana, polisi, TRA na ofisi za serikali aliwanyoosha kweli kweli, walikuwa wanatuheshimu mnoo.

Alipoingia huyu mama ni zaidi ya marais waliopita, Mpaka sasa bado namtambua mama ndiye the best president of Tanzania everrrr. Anaupiga mwingi.
 
Kama wew ni mjinga na ukaitwa mjinga basi huna budi kukwazika, just enjoy it.
Unajua kwamba ujinga siyo tusi? And is just a subjective opinion. So long you cannot prove it na wewe ukibaki unalazimisha mawazo yako yawe sahihi then unakuwa ni tatizo
 
Nani anataka kujua kabila lako jombaa?

Don't act smart , we have freedom to believe and choose.

I believe sukuma gang lipo, na Marehemu hakufanya lolote la maana zaidi ya ukabila na kuwaonea watu.

Of cause kuna 1.5 Trillion hazionekani, be informed.
Siku ukitoka hapo kwa shemeji ndio utajua kwanini Magufuli ataendelea kuishi mioyoni mwa wapenda haki, amani na maendeleo ya kweli.
Kwa taarifa yako Bandari ya Dar es salaam inatafutiwa mwekezaji, imetushinda!
 
Back
Top Bottom