Magufuli, a Man of the People

Magufuli, a Man of the People

Sikatai wala sikubaliani na wewe ndugu kuhusu legacy au la ila , natamani ujue kwamba mtanzania anaendeshwa na hisia, katika hisia kuna mtu ataposti tu ili aonekane naye kaposti , mwingine ni vile tu anaona aposti ili aendane na hali ya siku , ila pia mtanzania anaweza asikukubali ila ajifosi kukubali kwakuwa anaona maadhimisho na mambo mengine , ili asionekane, yuko tofauti na wengine , hiyo ndiyo tunasema unafiki, .But yote kwa yote rest easy Magufuli , Allah ampe pumziko lililo jema japo alikuwa na mazuri na mabaya yake ,pasipo kusahau mkamilifu ni mmoja tu , Allah tabarakh watakhaalah.
 
Siku mkiigundua yule hakuwa anastahili kuwa rais uje mbio ufute hii post haraka sana. aliwadanganya watu kuwa ni rais wa wanyonge huku akiwa anafanya vya watu wa hali ya juu analeta ndege nani mnyonge wa kuweza kupanda hiyo ndege................. bora hata na alieleta ndege za fastjet zenye ubei nafuu... Matokeo yake anatusababishia shida mpk kufanya mama ashindwe ongoza vema nchi hii... MTAELEWA TUU
 
Tatizo ni pale mnapofosi kuchanganya ujinga na werevu. Nyie mkimpenda na kumkumbuka mimi nadhan inatosha, msitake na sisi tuingie kwenye ujinga wenu.
Mkuu kwa nini unataka kutulazimisha tuungane na wewe katika chuki zako? If you hate him just do it in your ways. And let those who love him do it their way.
Above all, ignorance is bliss so watu wanapokuwa katika kile wewe unadhani ni ujinga let them enjoy their ignorance.
Usije ukadhani kwa kuwa wewe una chuki zako basi ndiyo unaakili sana. Yawezekana wanaompenda ni wajinga ila wewe unayemchukia ukawa ni mpumbavu (no offence)
 

Nonsense, Idiot, Pumbav kabsa, Kuna 50+ trl zimeokolewa kwenye madin pia
Tuambie kama kweli JPM alizichukua alizifanyia nini,50+ trillion sio hela kidogo.Just briefly.

Hivi kwa nini mnapenda kuongea hewa?Hizi ni tabia za Mashetani.
 
Kuna watu wanazani legacy ni kama mzimu, wanapiga kelele tu "acha legacy yake ijitetee ".

Kipindi cha nyakati ngumu kama.
1.Mgao wa umeme kimya
2.Mgao wa maji kimya.
3.Tozo kimya.
4.Bei ya mafuta imepanda tokea mwaka jana mwishoni, amabayo imegusa bidhaa nyingine kimya.
5.Watu wanajipigia hela plus utendaji na uwajibikaji wa watumishi umepungua kimya.

Ukiona watu wanasema neno "angekuwa fulani........",basi jua legacy yake inaanza kujitengeneza.

Hamna mtu anayependwa na kila mtu, lazima wale wenye mimba zao za chuki kwenye mawazo yao lazima wawepo na ndimu hamna so lazima wateme shombo, hata Nyerere kuna watu hawamkubali ila still legacy yake inaishi.

Bahati kwa nature ya kazi yangu nimezunguka sana baadhi ya mikoa,nimeshudia hospitali ulizojenga kila wilaya, mahakama kila wilaya barabara za kisasa,nimeshuhudia majengo mapya ya ofisi za wakuu wa wilaya na wakurugenzi na zaidi nilishuhudia barabara ya km 50 ya zege kuelekea Ludewa.Kuna miradi kibao kaiacha inachechemea angekuwa mwenyewe sasa 70% ingekuwa tayari ishaisha.

Pumzika tu ila pengo lako halina spea, vitu ulivyo vifanya vinaonekana huitaji kutumia nguvu.

RIP Chuma John Pombe Magufuli.
Kwa hiyo hivyo ndio uliviona vya muhimu sana mpaka ukakosa utu wa kujali thamani na kuthamini uhai wa watu waliokuwa wanakufa na kupotezwa kwa madai ya wasiojulikana?
 
He is gone, dead forever, misukule tu ndiyo mumebaki kulialia. Eti kiongozi wa kuigwa?? Uige kitu gani pale?

Jitu likikuwa linamtesa hata mke wake Janeth!! Angalia kwenye picha za Jana Janeth alivyonawiri, baada ya mwaka mmoja bila Shetani
We know why you are so angry with JPM.

Aidha alikuwajibisha kwa uovu wako,ni kuadi wa mabeberu au you are just evil,because evil people do not like good people.

Anyway,ninyi ni warriors tu wa mtandaoni,hamtabadilisha msimamo wa Watanzania kwamba JPM is the President Tanzania has never had.
 
Kwa hiyo hivyo ndio uliviona vya muhimu sana mpaka ukakosa utu wa kujali thamani na kuthamini uhai wa watu waliokuwa wanakufa na kupotezwa kwa madai ya wasiojulikana?
Kwa upande wangu ndio na viona vya muhimu sababu vinagusa maisha ya watu na hata hivyo unavyo vizungumzia haviusiani na yy.

Vp hao waliokuwa wanakufa vipi sasa hivi hawafi?

Vip na wale vijana watano wa kariakoo waliopotea kipindi cha Christmas wamepatikana?

Vipi siku hizi ufukweni miili ya watu haiokotwi?

Au may be yanayo fanyika sasa hivi yanafanywa na wanaojulikana?
 
We know why you are so angry with JPM.Aidha alikuwajibisha kwa uovu wako,ni kuadi wa mabeberu au you are just evil,because evil people do not like good people.

Anyway,ninyi ni warriors tu wa mtandaoni,hamtabadilisha msimamo wa Watanzania kwamba JPM is the President Tanzania has ever had.
Ungana naye kufa umfuate
 
Ungana naye kufa umfuate
Narudia,ninyi ni warriors tu wa mtandaoni,hamtabadilisha msimamo wa Watanzania kwamba JPM is the best President Tanzania has ever had.

Maombolezo ya kifo chake proves this assertion
 
Kwani mi under 18? yule alikuwa dikteta hatari bora alikufa
Watu mind controlled hawana uwezo wa kudadavua mambo wakawa na misimamo yao,wewe obviously ni mmoja wao.

Pole.
 
Kwa upande wangu ndio na viona vya muhimu sababu zinagusa maisha ya watu na hata hivyo unavyo vizungumzia haviusiani na yy.

Vp hao waliokuwa wanakufa vipi sasa hivi hawafi?

Vip na wale vijana watano wa kariakoo waliopotea kipindi cha Christmas wamepatikana?

Vipi siku hizi ufukweni miili ya watu haiokotwi?
Havihusiani na yeye kwasababu yeye sio muhanga?

Magufuli kafa kaacha watu wanaoendana na mfumo wake wanaokubali itikadi zake ndani ya serikali na ndio wanaoendeleza hayo madudu mpaka muda huu

Na hili swala kutengamaa litachukua muda kidogo ila angalau nafuu tunaiona tofauti na alivyokuwa ana rule yeye.

Hai make sense kusema mbunge apigwe risasi kwenye kota za bunge ambazo muda wote zimewekwa full security plus CCTV halafu hakuna footage hata moja wala uchunguzi kufanyika na bado mnataka kutuaminisha kuwa haikuwa conspiracy
 
Havihusiani na yeye kwasababu yeye sio muhanga?

Magufuli kafa kaacha watu wanaoendana na mfumo wake wanaokubali itikadi zake ndani ya serikali na ndio wanaoendeleza hayo madudu mpaka muda huu

Na hili swala kutengamaa litachukua muda kidogo ila angalau nafuu tunaiona tofauti na alivyokuwa ana rule yeye.

Hai make sense kusema mbunge apigwe risasi kwenye kota za bunge ambazo muda wote zimewekwa full security plus CCTV halafu hakuna footage hata moja wala uchunguzi kufanyika na bado mnataka kutuaminisha kuwa haikuwa conspiracy
Vp hao waliokuwa wanakufa vipi sasa hivi hawafi?

Vip na wale vijana watano wa kariakoo waliopotea kipindi cha Christmas wamepatikana?

Vipi siku hizi ufukweni miili ya watu haiokotwi?

Nimekuuliza haya maswali hujanibu bali unadadalika na kurukaruka kama mahindi ya bisi.
 
Back
Top Bottom