Magufuli, a Man of the People

Magufuli, a Man of the People

Mbona watu wengi sana wamepata ajira kipindi cha Magufuli...wewe hauajiriki uwezo ni tatizo
Rafiki wa rucy magufuri hujambo....ukweli ni kuwa waliopata ajira asilimia kubwa walikuwa ni watu kutoka kanda ya ziwa...ukweli usemwe japo ni mchungu....magufuri alikuwa na ukabira...angalia alivyokuwa akiwafanyia watu wa kaskazini......alipenda kusifiwa..paramagamba kabudi anasema raisi amemtoa jalalani, hivi kweli chuo kikuu ni jalalani?.........
 
"Those who touch our lives, stay in our hearts forever."

"Wanaogusa maisha yetu, hukaa katika mioyo yetu milele"
Watu wenye legitimacy legacy huwa hawaangaiki kuitunza, mfano ni Hayati Mwalimu Nyerere. Hakuna anayelazimisha lakini kila mtu anaelewa hilo. Njoo sasa kwa bwana Jiwe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naomba niwe wa kwanza kunyosha mikono kwamba nimepita huko mitandao mingine nimejionea mabandiko ya huyu mwamba.

Nikaona aibu nikasema ngoja nirudi tu WhatsApp. Wakati nachungulia status, nikakutana tena na mabandiko.

Nimeamua kuzima simu yangu na kulala, hivi huu uzii ndio namalizia kupost ili nimalizie kulala.

Hii siku sio nzuri kwangu kabisa, ni legacy gani yenye nguvu kiasi hiki. Yaani hadi vitoto vinapost status za huyu jamaa.
Taifa lililojaa watu wajingawajinga wanajua nini?
 
Watu wenye legitimacy legacy huwa hawaangaiki kuitunza, mfano ni Hayati Mwalimu Nyerere. Hakuna anayelazimisha lakini kila mtu anaelewa hilo. Njoo sasa kwa bwana Jiwe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnatumia nguvu kubwa sana ku-discredit legacy yake, na bado mmefeli pakubwa. Mtakufa kwa chuki mbuzi nyie.
 
Naomba niwe wa kwanza kunyosha mikono kwamba nimepita huko mitandao mingine nimejionea mabandiko ya huyu mwamba.

Nikaona aibu nikasema ngoja nirudi tu WhatsApp. Wakati nachungulia status, nikakutana tena na mabandiko.

Nimeamua kuzima simu yangu na kulala, hivi huu uzii ndio namalizia kupost ili nimalizie kulala.

Hii siku sio nzuri kwangu kabisa, ni legacy gani yenye nguvu kiasi hiki. Yaani hadi vitoto vinapost status za huyu jamaa.
Watanzania siyo wajinga. Wanaona na wanafanya comparison. People can tell the difference. The more they try to tarnish his image, the more ordinary people miss him and appreciate him
 
Kwanza Kwa maneno ya mama janeth it's like ,SSH,ilikuwa asiende chato, so ni km kalazimishwa tu...yaani serikali haikuwa na mpango,ndyo maana kanisa katoliki wao wakachukua nafasi hyo km kuendesha misa.
Ndiyo ujue sasa kuwa watu hawana habari na huyo mungu wenu. Tuko bize na ishu za msingi
 
VON BISMACK ni Mungu gani unamuongelea hapa? Labda mungu wa wasukuma, Mfalme Zamaridi. Mungu tunayemuabudu kwenye vitabu vitakatifu kama Biblia na Korani hawezi kutoa zawadi kwa Watanzania ya Rais anayeharibu uchumi, mwizi, mwongo, mtekaji na muuaji.

Na kukuthibutishia kuwa Magufuli hakutoka kwa Mungu wa Ibrahim, Yakobo na Isaka, ndiyo maana mara baada ya kufanikisha wizi wa kura za uchaguzi Mkuu wa 2020, akanyakuliwa na kutupwa jehanam ndani ya siku 114 tu.

Muache Mungu wetu usimhusishe na shetani wa Chato
Hayo ni yako mkuu

Tupo huru kupenda au kutokupenda.

Binafsi magufuli ni kiongozi wakuigwa.

Nawewe chagua kiongozi wako anayekufaa.

Kuiba kura ndio nini ? Walioiba kura ni jirani zako, jaama zako, ulionao huko mtaani lkn sio Magufuli....
 
Kwanza Kwa maneno ya mama janeth it's like ,SSH,ilikuwa asiende chato, so ni km kalazimishwa tu...yaani serikali haikuwa na mpango,ndyo maana kanisa katoliki wao wakachukua nafasi hyo km kuendesha misa.
Wakati ingependeza zaidi Kama Mama Samia ndiyo angekua wa kwanza kumpigia simu Mama Janet na kumfariji na kumuulizia mipango ya maandalizi! Na inaonekana Mama Samia alikua hana mpango wa kwenda,na alisha mteuwa Mpango kwenda kumuwakilisha! Lakini Mpango akamtonya Mama Janet ampigie mwenyewe Rais labda atajisikia aibu! Na kweli mpango wa Makamo wa Rais ukafanya kazi na Mama akaibuka chato!!
 
Naomba niwe wa kwanza kunyosha mikono kwamba nimepita huko mitandao mingine nimejionea mabandiko ya huyu mwamba.

Nikaona aibu nikasema ngoja nirudi tu WhatsApp. Wakati nachungulia status, nikakutana tena na mabandiko.

Nimeamua kuzima simu yangu na kulala, hivi huu uzii ndio namalizia kupost ili nimalizie kulala.

Hii siku sio nzuri kwangu kabisa, ni legacy gani yenye nguvu kiasi hiki. Yaani hadi vitoto vinapost status za huyu jamaa.
Wewe ulitaka je?
 
Hayo ni yako mkuu
Tupo huru kupenda au kutokupenda.
Binafsi magufuli ni kiongozi wakuigwa.

Nawewe chagua kiongozi wako anayekufaa.

Kuiba kura ndio nini ? Walioiba kura ni jirani zako, jaama zako, ulionao huko mtaani lkn sio Magufuli....
He is gone, dead forever, misukule tu ndiyo mumebaki kulialia.

Eti kiongozi wa kuigwa?? Uige kitu gani pale?

Jitu likikuwa linamtesa hata mke wake Janeth!!

Angalia kwenye picha za Jana Janeth alivyonawiri, baada ya mwaka mmoja bila Shetani
 
Back
Top Bottom