Magufuli, a Man of the People

Magufuli, a Man of the People

Naomba niwe wa kwanza kunyosha mikono kwamba nimepita huko mitandao mingine nimejionea mabandiko ya huyu mwamba.

Nikaona aibu nikasema ngoja nirudi tu WhatsApp. Wakati nachungulia status, nikakutana tena na mabandiko.

Nimeamua kuzima simu yangu na kulala, hivi huu uzii ndio namalizia kupost ili nimalizie kulala.

Hii siku sio nzuri kwangu kabisa, ni legacy gani yenye nguvu kiasi hiki. Yaani hadi vitoto vinapost status za huyu jamaa.
Magufuli ataishi milele..
Jina lake limeandikwa kwa wino wa dhahabu katika
mioyo ya watanzania walio wengi,
 
Huwa wanakuja kama wametumwa.
Mkuu hawa vibaraka wanakera sana katika nchi yetu matatizo yote tunayopitia leo yamesababishwa na awamu ya nne wale watu walijua kufuja pesa wanakuja kumtukana mtu aliyewasidia kwenye kipindi kigumu kama cha Corona walitaka lock down si wangekufa ila mwamba kakataa huo upuuzi wao ndio maana wana mchukia.
 
Mkuu hawa vibaraka wanakera sana katika nchi yetu matatizo yote tunayopitia leo yamesababishwa na awamu ya nne wale watu walijua kufuja pesa wanakuja kumtukana mtu aliyewasidia kwenye kipindi kigumu kama cha Corona walitaka lock down si wangekufa ila mwamba kakataa huo upuuzi wao ndio maana wana mchukia.
Hao huwa na waita mazumbukuku na vichwa panzi.
Huwa hawajui nini wanataka.
 
JPM, MWAMBA, JIWE, BABA JESKA, CHUMA, BULLDOZER. JABALI LA AFRICA UPUMZIKE KWA SALAMA kuna viumbe wanademka na kuimba Taarabu huku mpaka kufikia Kutangaza kugawa Bandari ya Salama kwa wavaa Viremba
 
JPM, MWAMBA, JIWE, BABA JESKA, CHUMA, BULLDOZER. JABALI LA AFRICA UPUMZIKE KWA SALAMA kuna viumbe wanademka na kuimba Taarabu huku mpaka kufikia Kutangaza kugawa Bandari ya Salama kwa wavaa Viremba
Mungu amrehemu huyu mwamba..
Sikumuona Yesu, Eliya wala Musa lakini kumuona Magufuli
ni kama nimeona wote.
 
Back
Top Bottom